Mwimbaji wa Injili aliyekorofishana na mkewe Emmanuel Mbasha amemkandia mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima ambaye ndiye anadaiwa kuvunja ndoa ya muimbaji huyo kuwa ni mtu mwenye roho mbaya...
Hatimaye staa wa muziki wa Injili Tanzania Florance Henry 'Madam Flora' amefunga ndoa na Daudi Kusekwa baada ya kukaa muda mrefu wa upweke kutokana na kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha.
Wana JF,
Ningependa huyu Bwana awe MC katika harusi yangu. Mwenye kufahamu namba yake ya simu, au mawasiliano mengine yoyote yatakayofanikisha kumpata, naomba anipatie
Habari wakuu,
Ni kitambo sana msanii Ali Kiba hajasikika vinywani mwa watu, hajaonekana kwenye matukio yoyote na wala haandikwi kabisa na vyombo vya habari vya Tanzania, Afrika na hata dunia...
Namwangalia Mrisho Mpoto hapa tbc anajaribu kuzungumzia kwanini yupo kwenye fursa ya cloudsfm. Anasema yeye ni kijana na anahisi ana kila sifa ya kuwepo kwenye ttimu ya fursa.
Kuna kipindi...
hata jina lake niliwah ona na cd lakini nimemsahau.kw kimo ni mrefu sio sana.mweupe
nyimbo yake inayombamba zaidi ina beat kama ya singeli hivi.
ila kinachonishangaza ni mtindo wake wa...
Hawa wote inasadikika kuwa wamewahi kuwa na uhusiano na Frola Siku za nyuma. Mbasha alikuwa mume halali wa Flora kabla ya kuachana na hata baada ya kuachana inasemekana Flora alijiingiza katika...
Kumekuwa na maneno mengi leo kuanzia kwenye vijiwe vya kahawa mpaka mitandaoni kumhusu mwanamziki aliyejulikana kama Flora Mbasha awali (madame Flora sasa) kuhusu uamuzi wake wa kufunga ndoa kwa...
Sijui ni lini huyu Mtangazaji ataacha hii tabia yake ya kipuuzi na ya kimakusudi ambayo sasa ameshaifanya kama vile kuwa ndiyo utaratibu wake wa kila siku anapokuwa Kazini hapo Studioni Efm.
Ni...
Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop,
Daz Baba amedai amegundua kitu
ambacho kinamkwamisha ashindwe
kufanya vizuri kama zamani
Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na
nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’...
Diamond ameweka historia ya kuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kujaza uwanja wa Golf uliopo kwenye mji wa kitalii wa livingdtone Zambia
Diamond pia atatumbuiza kwenye mji mkuu wa...
Wazima wakuu.
Binti huyu anaitaji kura yako ili aweze kushinda katika shindalo la "college Top model competition". Na kuibuka kuwa Mshindi katika shindano hilo.
Jina: Janeth Phocus
Contestant #...
Habari ya wakati huu wakuu.
Sisi watanzania tunafahamika kwa ukarimu na roho nzuri, upendo na kusaidiana, tabia ambayo mwalimu alitufundisha.
Lakini pia sisi ni watu wabaya sana kama mtu...
Sanchoka azidi kubreak internet kwa kutupia vitu hivi mtandaoni. Katawala kote kitu ambacho kimefanya yeye kuwa gumzo na kuwafunika wote Vera Sidika na Huddah Monroe. Sasa hivi anafanya kazi zake...
Kwa mimi naona Mr. Bean ndo bora zaidi, ukitazama movie zake kibao alizoigiza lazima uvunjike mbavu kwa zile mbwembwe zake za vichekesho....
Wengine sijui mnasemaje katika hili?
Habar zenu wanajamv
Natumaini wote ni wazima Wa afya
Imepita mda mrefu sana sijamsikia Dada angu kipenz rose muhando muimbaji Wa nyimbo za dini
Je ni wap alipo
Ni kipi kimemkuta?
Asanteni
Ifa96
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
Yusuph Mlela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.