Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii Roma akihojiwa leo na clouds tv ameishukuru serikali kwa kunusuru maisha yake na kumrudisha uraiani.
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Mwimbaji wa Injili aliyekorofishana na mkewe Emmanuel Mbasha amemkandia mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima ambaye ndiye anadaiwa kuvunja ndoa ya muimbaji huyo kuwa ni mtu mwenye roho mbaya...
2 Reactions
63 Replies
11K Views
  • Redirect
Hatimaye staa wa muziki wa Injili Tanzania Florance Henry 'Madam Flora' amefunga ndoa na Daudi Kusekwa baada ya kukaa muda mrefu wa upweke kutokana na kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha.
2 Reactions
Replies
Views
Wana JF, Ningependa huyu Bwana awe MC katika harusi yangu. Mwenye kufahamu namba yake ya simu, au mawasiliano mengine yoyote yatakayofanikisha kumpata, naomba anipatie
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Habari wakuu, Ni kitambo sana msanii Ali Kiba hajasikika vinywani mwa watu, hajaonekana kwenye matukio yoyote na wala haandikwi kabisa na vyombo vya habari vya Tanzania, Afrika na hata dunia...
3 Reactions
80 Replies
19K Views
Namwangalia Mrisho Mpoto hapa tbc anajaribu kuzungumzia kwanini yupo kwenye fursa ya cloudsfm. Anasema yeye ni kijana na anahisi ana kila sifa ya kuwepo kwenye ttimu ya fursa. Kuna kipindi...
3 Reactions
58 Replies
9K Views
hata jina lake niliwah ona na cd lakini nimemsahau.kw kimo ni mrefu sio sana.mweupe nyimbo yake inayombamba zaidi ina beat kama ya singeli hivi. ila kinachonishangaza ni mtindo wake wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa wote inasadikika kuwa wamewahi kuwa na uhusiano na Frola Siku za nyuma. Mbasha alikuwa mume halali wa Flora kabla ya kuachana na hata baada ya kuachana inasemekana Flora alijiingiza katika...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kumekuwa na maneno mengi leo kuanzia kwenye vijiwe vya kahawa mpaka mitandaoni kumhusu mwanamziki aliyejulikana kama Flora Mbasha awali (madame Flora sasa) kuhusu uamuzi wake wa kufunga ndoa kwa...
2 Reactions
95 Replies
11K Views
Sijui ni lini huyu Mtangazaji ataacha hii tabia yake ya kipuuzi na ya kimakusudi ambayo sasa ameshaifanya kama vile kuwa ndiyo utaratibu wake wa kila siku anapokuwa Kazini hapo Studioni Efm. Ni...
8 Reactions
77 Replies
17K Views
Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop, Daz Baba amedai amegundua kitu ambacho kinamkwamisha ashindwe kufanya vizuri kama zamani Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
  • Redirect
Diamond ameweka historia ya kuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kujaza uwanja wa Golf uliopo kwenye mji wa kitalii wa livingdtone Zambia Diamond pia atatumbuiza kwenye mji mkuu wa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
FaizaFoxy FaizaFoxy JF-Expert Member #20 Apr 21, 2017 Joined: Apr 13, 2011 Messages: 55,533 Likes Received: 17,019 Trophy Points: 280 Rahisi sana, itakuwa si perfume hiyo, labda ni eau...
0 Reactions
Replies
Views
Wazima wakuu. Binti huyu anaitaji kura yako ili aweze kushinda katika shindalo la "college Top model competition". Na kuibuka kuwa Mshindi katika shindano hilo. Jina: Janeth Phocus Contestant #...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
Habari ya wakati huu wakuu. Sisi watanzania tunafahamika kwa ukarimu na roho nzuri, upendo na kusaidiana, tabia ambayo mwalimu alitufundisha. Lakini pia sisi ni watu wabaya sana kama mtu...
1 Reactions
89 Replies
7K Views
Sanchoka azidi kubreak internet kwa kutupia vitu hivi mtandaoni. Katawala kote kitu ambacho kimefanya yeye kuwa gumzo na kuwafunika wote Vera Sidika na Huddah Monroe. Sasa hivi anafanya kazi zake...
4 Reactions
94 Replies
45K Views
Kwa mimi naona Mr. Bean ndo bora zaidi, ukitazama movie zake kibao alizoigiza lazima uvunjike mbavu kwa zile mbwembwe zake za vichekesho.... Wengine sijui mnasemaje katika hili?
5 Reactions
138 Replies
14K Views
Habar zenu wanajamv Natumaini wote ni wazima Wa afya Imepita mda mrefu sana sijamsikia Dada angu kipenz rose muhando muimbaji Wa nyimbo za dini Je ni wap alipo Ni kipi kimemkuta? Asanteni Ifa96
2 Reactions
18 Replies
11K Views
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa msanii huyo anapotosha jamii juu ya maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa filamu nchini. Yusuph Mlela...
5 Reactions
154 Replies
46K Views
Back
Top Bottom