Tamaduni Music tatizo lao ni nini?

Mtanzania Mkenya

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
238
386
Kama ulikuwa hujui, hawa jamaa wa Tamaduni Music wanakubalika sana nchini Kenya. Hiphop yao inaeleweka sana. Kuanzia Nikki Mbishi, One The Incredible, Songa, Stereo, P The Mc, Maalim Nash na wengine wengi.
Tatizo ni kuwa siwaoni wakiendelea kama wasanii wengine wa Tanzania wanavyoendelea licha ya kufanya hiphop ya ukweli. Nini kinachowakwamisha wakali hawa?
 
Wakenya wa wapi hao ilhali wakenya hawaelewi kiswahili cha TZ sijui wanawapenda vp tamaduni. Kupendwa na wakenya hakumaanishi TZ utapendwa pia. Muziki ni zaidi ya kukaza mashairi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom