Lord Eyes afunguka na kusema Weusi ni wabinafsi.

Ubinafsi ni wanini fanyeni kazi acheni majungi nyi wapumbavu nini
[HASHTAG]#chalii[/HASHTAG] why abuse language my friend if u have nothing to comment beta to pass silence.

infact sio lazima ukoment u can read only sasa unamtukana lord eyes au aliyepost?hayo kayasema akihojiwa clouds fm

kama lipo unalolijua sema jamaa anadanganya ukweli ni huu... na sio lugha zisizo na Staha.
 
[HASHTAG]#chalii[/HASHTAG] why abuse language my friend if u have nothing to comment beta to pass silence.

infact sio lazima ukoment u can read only sasa unamtukana lord eyes au aliyepost?hayo kayasema akihojiwa clouds fm

kama lipo unalolijua sema jamaa anadanganya ukweli ni huu... na sio lugha zisizo na Staha.
What language am i abusing niqqa?
 
[HASHTAG]#chalii[/HASHTAG] why abuse language my friend if u have nothing to comment beta to pass silence.

infact sio lazima ukoment u can read only sasa unamtukana lord eyes au aliyepost?hayo kayasema akihojiwa clouds fm

kama lipo unalolijua sema jamaa anadanganya ukweli ni huu... na sio lugha zisizo na Staha.
Ni kwamba tu hujamsoma tu jamaa, alikuwa hana nia mbaya, huo ni mstari tu ameuquote kwenye ngoma ya G Nako ft Nikki wa Pili na fundi Samwel -Bado Ngware.
Ishu ya Eyes kidogo inahitaji busara sana, licha ya mchango wake mkubwa kwenye kundi la Weusi wakati wanaanza, ila jamaa kiukweli hasomeki, labda kama ameacha yale mambo yake man, amefanya matukio mengi sana ya ajabu ajabu, wakichofanya Weusi ilikuwa ni sahihi sababu alikuwa anaharibu kitu walichokuwa wameshakisimamisha tayar.
Ila kama amejirudi na anaonekana yupo poa kama zamani enzi zake za N2N apewe nafasi, hiv karibuni nimeona kama amebadilika kidogo, sasa sijui ndio amejifunza au bado kayaficha makucha.
 
Ni kwamba tu hujamsoma tu jamaa, alikuwa hana nia mbaya, huo ni mstari tu ameuquote kwenye ngoma ya G Nako ft Nikki wa Pili na fundi Samwel -Bado Ngware.
Ishu ya Eyes kidogo inahitaji busara sana, licha ya mchango wake mkubwa kwenye kundi la Weusi wakati wanaanza, ila jamaa kiukweli hasomeki, labda kama ameacha yale mambo yake man, amefanya matukio mengi sana ya ajabu ajabu, wakichofanya Weusi ilikuwa ni sahihi sababu alikuwa anaharibu kitu walichokuwa wameshakisimamisha tayar.
Ila kama amejirudi na anaonekana yupo poa kama zamani enzi zake za N2N apewe nafasi, hiv karibuni nimeona kama amebadilika kidogo, sasa sijui ndio amejifunza au bado kayaficha makucha.
Ma slomoo hawaelewagi, sema sijawahi kuisikia bado ngware kwenye radio haikupata air time wakati ni hit song na watu wengi hawaijui
 
Ni kwamba tu hujamsoma tu jamaa, alikuwa hana nia mbaya, huo ni mstari tu ameuquote kwenye ngoma ya G Nako ft Nikki wa Pili na fundi Samwel -Bado Ngware.
Ishu ya Eyes kidogo inahitaji busara sana, licha ya mchango wake mkubwa kwenye kundi la Weusi wakati wanaanza, ila jamaa kiukweli hasomeki, labda kama ameacha yale mambo yake man, amefanya matukio mengi sana ya ajabu ajabu, wakichofanya Weusi ilikuwa ni sahihi sababu alikuwa anaharibu kitu walichokuwa wameshakisimamisha tayar.
Ila kama amejirudi na anaonekana yupo poa kama zamani enzi zake za N2N apewe nafasi, hiv karibuni nimeona kama amebadilika kidogo, sasa sijui ndio amejifunza au bado kayaficha makucha.
asante kwa kunielewesha mkuu...

fundi samwel huyu producer karudi kwao sio.

Namuona rafiki yake Sarah ndo bado anaimbaimba.
 
Ma slomoo hawaelewagi, sema sijawahi kuisikia bado ngware kwenye radio haikupata air time wakati ni hit song na watu wengi hawaijui
Nimekusoma sana Mkuu, Hiyo ngoma nilimwelewa sana Wara wara, ninadhan kati ya ngoma zake zote kwangu mim, hii ndio imesimama sema bahat mbaya haikupata air time kivile, ninadhan kama angetoa video ingeisogeza kidogo.
 
Ma slomoo hawaelewagi, sema sijawahi kuisikia bado ngware kwenye radio haikupata air time wakati ni hit song na watu wengi hawaijui
Moja wapo ya sifa inayofanya wimbo kua hit song ni kupata air time radioni na pia watu wengi kuujua huo wimbo, kama hivyo vitu havipo maana yake hakuna hit song kwaio huo wimbo wa ngware haukua hit song labda ulikua ni wimbo mzuri ambao hauku hit...
 
Back
Top Bottom