Maskini Roma pole kaka ugau pole

Bwiree

Senior Member
Nov 12, 2016
164
103
f5a13cf540e1967a834cf880ecac8b67.jpg

Inauma sana aisee pole kaka utapona hajarishi unapitia magumu kiasi gani pambana mpaka mwisho.
 
Hivi tumefika hapa kweli? Mtu anatekwa na kuumizwa na linapita tu?
Kimya hiki maana yake nini? Kwa kuwa hakuna aliyekamatwa hata kwa kuzuga, basi wahusika ni wale wale.
Pale wasipohusika wao, huwa ni rahisi kukamata wahusika. Kwa kuwa ni wao basi tu. Kwa Ulimboka alitengenezwa Mkenya kupitia kwa Gwajima akiwa bado kipenzi chao.
 
acha ujinga mbona huyo mzima kabisa nenda hospital uone watu waliopata ajali hali zao zilivyo zuzu wewe
Utu ni jambo la busara zaid ya chochote, roho mbaya kwa wenzio si jambo jema sisi sote ni binadamu mbali na tofauti zetu za kiiman , kisiasa nk lakin sote tu watoto wa mtu mmoja kiimani ,tusikose utu kiasi hiki kwa sababu tu ya tofaut zetu za siasa

ukifiwa au ukifa wewe mwenyewe utasaidiwa kuchimba kaburi na watu wa vyama vyote na dini zote na utazikwa na umoja huo bila kujali vyama vyao, jamii utakayo iacha italelewa na walio baki na hujui ni nani ataisaidi jamii yako huenda wewe bado ni mtoto huyajui maisha yako ya kesho endelea kukua utajua kuwa katika maisha hakuna aliye wamuhimu zaid ya wengine bali binadamu tunategemeana kutokana na mazingira yetu ya maisha.

Uzima huo ulio nao usikupe kiburi cha kutoona umuhimu wa maisha ya wengine tambua walio kuwepo kabla yetu hawapo sasa na hatujui huko waliko maana kifo ni siri ya maiti jiwekee hazina ya mema dunian.
 
Kwa haliii hiyo jamaaaa lazima afiche yaliyo tokea.

Ila kama hawataki mtu aimbe si wampe Milion zake 200.

Akafanye biashara ya mbao tu
 
Pole Roma
Pamoja na yote mshukuru Mungu uko hai na haujateswa kama Dr. Ulimboka alivyoteswa.
 
Ebanaee duh!! Imefika wakati kuna watu wanajipa mamlaka ya kiutendaji ya Mungu...... Kuna watu wanalala makanisani/misikitini wakisema tuwaombee

Hii ni shitt.... Hakuna anaejua kama wakina Roma walipigwa sindano za suma.....

Kuna watu wanadhani wataishi milele fu****
 
Mnamcheka tena mshirika wenu namnamlaum kwel ninyi nihatari sana ila sishangai hata huku arusha wote walioiawa kwenye yale maandamano wameterekezwaga wanapita makanisan namisikitini wake zao nawtoto wanaomba msaada halafu chama kilichowahamasisha wakaandamane kipo maviongozi wakewanakula maisha bila wasiwas wowote.tulioaakili2 ndotutajua huu usanii sio wakitoto kama ni elim bas huu ni uprofesa.yaan mchaga akikufata ww mswahili akikupa dili kua nae makin sana anaweza akakuacha solemba halafu akatambaa zake baada yakufanikisha mambo yake kupitia mgongo wako
 
Nahata huyu roma hawatamtetea wala hawakua nahabar nae mchango wake tayar wameshanufaika nao nahiv punde atasahaulika.hebu tusubirie kama haya hayatatimia.
 
Hivi huyu si ni msanii,
Usanii
Sanaa
Maigizo
Series
Episode
Scene
Usanii
Film
Movie
Ameacha muziki ameamia kwa jplus
 
Back
Top Bottom