Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu jamaa alikuwa ni producer mkali, ametengeneza ngoma zilizo-hit sana miaka hiyo ikiwemo ngoma nyingi za Banana Zorro kama Niko Radhi, Hafsa Kazinja - Pressure na ngoma kibao. Miaka ya...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama...
18 Reactions
790 Replies
88K Views
Nimekuwa nikifatilia performance nyingi zinazowakutanisha Alikiba na Diamond jukwa moja, huwa inampanikisha sana Diamond na kupelekea kufanya performance mbovu sana. Kama mnakumbuka kwenye Tuzo za...
7 Reactions
66 Replies
9K Views
Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja...
13 Reactions
157 Replies
30K Views
Yaani leo Clouds TV wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond Platnumz kupanda jukwaani
6 Reactions
112 Replies
11K Views
Bidada nasikia limemkuta jambo , ile ofisi yake aliyoifungua kwa mbwe mbwe wiki kadhaa iliyopita nasikia imevunjwa vunjwa na Vijana wanaosadikika wametumwa na mke wa muheshimiwa ambaye anadaiwa...
2 Reactions
50 Replies
11K Views
Leo Dodoma kwenye kikao cha CCM wasanii karibia wote walikuwepo ukumbini. Karibia wote walikuwa wamevalia jezi za CCM..Isipokuwa King Kiba, japo katumbuiza ila hakutaka kuvaa jezi ya CCM.. kama...
21 Reactions
44 Replies
6K Views
Habari zenu wana jamvi. Naomba kuwaulizeni nimekuwa nikisikia kuwa kuna Watu hawa Wawili wanajiita Wachambuzi mahiri wa masuala ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa nchini Tanzania ambao ni Chris...
2 Reactions
43 Replies
12K Views
Habari zenu wapendwa baada ya bidada Snura Mushi kusema hawezi kuwavulia chupi wadogo zake yaani wanaume aliowazidi umri .. Juz kapost picha akidendeka hadharani na Ben pol , sasa swali ni je huyo...
2 Reactions
58 Replies
13K Views
Kazi aliyotoa chilla recently Ni Kali Sana inaitwa "bimbilika" inanikumbusha ngoma zake za nyuma Kama u Hali gani.Jamaa ana kipaji kikubwa Sana napenda apate Mafanikio Kama kipaji chake kilivyo.
0 Reactions
4 Replies
906 Views
GEEZ MABOVU AMEFARIKI DUNIA. Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Ahamedy Ally Upete aka Geez Mabovu amefariki dunia usiku wa saa mbili ya leo baada ya kusumbuliwa na maradhi...
0 Reactions
217 Replies
64K Views
#Happynyerereday to everyone Kwa hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya Wana muziki tofauti tofauti ...lakini mada hii imejikita kwa upande wa hip-hop Ukanda wa kusini Tanzania...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Willy Smith baada ya Alsina,27, kusema alitembea na mke wake Pinkett Smith, 48! Uchebe akiendelea na yake!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kana-Ka-Nsungu is back! nilienda bush kutambika na nimerudi na mengi sana kutoka huko tunapopaita nyumbani, nitakuwa nikiwamegea kidogo kidogo kadiri muda utakavyo ruhusu, kwa leo naomba tu na...
2 Reactions
46 Replies
13K Views
Live kutoka JNICC Tuzo za malkia wa nguvu zinazotolewa na Clouds Media na KCB tujiajiri program Mgeni rasmi ni Mama Getrude Mongela, na naona na watu mashuhuri kadhaa akiwemo RC wa jiji hili...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
MARTIN F LAWRENCE. LUCAS MHUVILE a.k.a JOTI. Msanii Joti amekuwa akionekana akiigiza nafasi mbalimbali na kuzimudu, kwa hilo namfananisha na Msanii genious wa USA, Martin F Lawrence aliyetamba...
1 Reactions
52 Replies
13K Views
Haya ni mapenzi au utumwa,huyu binti bila aibu katika Tamasha la ''Tigo Kiboko Yao'' Jumamosi alimchapa makofi anayemwita mumewe mtarajiwa kisa amegoma kwenda nae. Ilifika muda Shilole akataka...
3 Reactions
144 Replies
34K Views
Hahaaa kuna hii nyimbo mpya ya shilole sijui inaitwaje vile, ila video yake inapigwa sana EATV. Anampiga majungu kwa mbaali kijana wake wa zamani kua alimzaba makofi na akitoka alikua anabeba...
1 Reactions
60 Replies
13K Views
ednesday, January 18, 2012 ........SHILOLE YUKO KWENYE WAKATI MGUMU........ 6:55 PM wajanjaclub MSANII nyota wa filamu Zena Muhamed ‘Shilole’...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kuanzia sasa hataki tena kuwa na mwanaume suruali, bali anahitaji mtu mwenye nazo, ndiyo maana ameamua kufanya kazi kwa...
2 Reactions
42 Replies
9K Views
Back
Top Bottom