Diamond Platnumz: Nimemalizana na Universal, ninapoona msanii ana-sign namsikitikia

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
May 3, 2020
2,416
3,911
Diamond Platnumz Ameweka wazi kuwa amemalizana na lebo ya Universal Music ambayo alimwanga wino kusambaza kazi zake za Music, Diamond amesema kuwa amejifunza mengi kupitia mikataba yao, kiasi kuwa akiona Msanii ana sign anamsikitikia,

" Nimefanya kazi na Universal takribani miaka miwili na nusu na Nimemalizana nao mwaka huu, nisiwe mnafiki ninapoona msanii yeyote aki-sign mara ya kwanza namsikitikia. Dada yangu Vanessa Mdee alisainiwa niliwaambia uongozi duuh Natamani ajue anachoenda kukutana nacho. Lakini mimi sio mtu wa kuongea mitandaoni, nakaaga tu kimya," Amesema Diamond
 
Aiseee
Labels zote zinabana wasanii
Label zinaonekana zinabana sababu wasanii hawasomi mikataba na kuielewa wakati ya kuisaini.

Hata baadhi ya mikaba mengine wasanii wanayo saini na makampuni ya biashara, hawaelewi wanasaini nini. Unakuta labda msanii unatakiwa ukae kwenye bango miezi 3, lakini bango linakaa miezi zaidi ya mitatu lakini kama na wewe ukiwa na terms zako, wakiongeza siku unawalima fine
 
Diamond kukaa kimya sio solution kabisa kama unahisi kumwaga data kwa identity yako ingeleta au italeta conflit of interest na universal basi mpe mtu hizo data azimwage bila hata wewe kujulikana kuwa ndio source wa izo data hio itasaidia sana wasanii wetu hawa ambao kiuhalisia sio wao wala management zao hazina exposure na international affairs kabisa ivo wakisikia tu kitu ni international basi hakuna kusoma terms and conditions wao ni kumwaga tu wino mbele ya mi camera mpaka wasanuke kuwa wameingizwa mkenge ni too late

Wasanii ni watu ambao hawataki kabisa kujiongeza katika career zao ndio mana wanazolewazolewa tu kama ngombe mwisho wa siku mfukoni wanabaki weupe hakuna kitu wanapata ukifatilia izi mikataba za mabango ndio utajua hawa wasanii wetu kweli hamna kitu
They dont know how to value themselves shule pia ni shida hawajui wanachokifanya zaidi ya show off tu mitandaoni

Na mwisho kabisa maradhi huja kuwa mwarobaini wao hatukatai tamaduni za kuchangiana ila leo ukisikia Harmonize anaomba 20m au alikiba kwa ajili ya upasuaji utashangaa kuwa huyu na jina lote hili hata 20m anakosa kwenye akiba zake na collections
 
Diamond kukaa kimya sio solution kabisa kama unahisi kumwaga data kwa identity yako ingeleta au italeta conflit of interest na universal basi mpe mtu hizo data azimwage bila hata wewe kujulikana kuwa ndio source wa izo data hio itasaidia sana wasanii wetu hawa ambao kiuhalisia sio wao wala management zao hazina exposure na international affairs kabisa ivo wakisikia tu kitu ni international basi hakuna kusoma terms and conditions wao ni kumwaga tu wino mbele ya mi camera mpaka wasanuke kuwa wameingizwa mkenge ni too late
Wasanii ni watu ambao hawataki kabisa kujiongeza katika career zao ndio mana wanazolewazolewa tu kama ngombe mwisho wa siku mfukoni wanabaki weupe hakuna kitu wanapata ukifatilia izi mikataba za mabango ndio utajua hawa wasanii wetu kweli hamna kitu
They dont know how to value themselves shule pia ni shida hawajui wanachokifanya zaidi ya show off tu mitandaoni
Na mwisho kabisa maradhi huja kuwa mwarobaini wao hatukatai tamaduni za kuchangiana ila leo ukisikia Harmonize anaomba 20m au alikiba kwa ajili ya upasuaji utashangaa kuwa huyu na jina lote hili hata 20m anakosa kwenye akiba zake na collections
Hivi hushajiuliza kwa nini Vannesa hakumfuata au hata kumpigia simu Diamond na kumuuliza kuhusu mikataba ya Universal?

Kwa kifupi wasanii wabongo hawapendani ,wana vinyongo na wanachukiana na ndio maana ni ngumu Industry yetu kukua sababu hawa shei mawazo,kesho usi shangae Konde Boy akasaini na Sony akashindwa kumuliza Kiba kuhusu negative side ya mikataba ya Sony au akasini na Universal akashindwa kumuliza Diamond kuhusu mikataba ya Universal.

Mwisho wa siku wasanii pamoja ya kuwa wanachukiana wao kwa wao ,wajaribu basi kukaa na wanasheria hata wa kawaida wawachambulie vipengele kwenye mikataba yao wavielewe kabla ya kusaini.
 
Hivi hushajiuliza kwa nini Vannesa hakumfuata au hata kumpigia simu Diamond na kumuuliza kuhusu mikataba ya Universal?

Kwa kifupi wasanii wabongo hawapendani ,wana vinyongo na wanachukiana na ndio maana ni ngumu Industry yetu kukua sababu hawa shei mawazo,kesho usi shangae Konde Boy akasaini na Sony akashindwa kumuliza Kiba kuhusu negative side ya mikataba ya Sony au akasini na Universal akashindwa kumuliza Diamond kuhusu mikataba ya Universal.

Mwisho wa siku wasanii pamoja ya kuwa wanachukiana wao kwa wao ,wajaribu basi kukaa na wanasheria hata wa kawaida wawachambulie vipengele kwenye mikataba yao wavielewe kabla ya kusaini.
End of story na mjadala ufungwe.
 
Label zote Duniani ni kwaajili ya kupiga hela ndio maana mpaka 2pac anakufa mapato yake yote yalienda Deathrow records, upande wa Michael Jackson Sony Music wanampiga hela hadi kesho, upande wa Lil wayne Cashmoney Records walimtwanga hela mpaka likaibuka bifu zito.

Watu wasione watu weusi wanaimba au wanarap wakadhani wao ndio matajiri sana huko marekanj , wakati matajiri ni hao wazungu na wayahudi wanaomiliki hizo label sema wako nyuma ya hao wanaofanya show off na ferrari za kukodi n.k
 
Yeye ameshamaliza mkataba sasa kelele za nini? Awaache wenzie walambe shavu khaaaaaaaah
 
Diamond kukaa kimya sio solution kabisa kama unahisi kumwaga data kwa identity yako ingeleta au italeta conflit of interest na universal basi mpe mtu hizo data azimwage bila hata wewe kujulikana kuwa ndio source wa izo data hio itasaidia sana wasanii wetu hawa ambao kiuhalisia sio wao wala management zao hazina exposure na international affairs kabisa ivo wakisikia tu kitu ni international basi hakuna kusoma terms and conditions wao ni kumwaga tu wino mbele ya mi camera mpaka wasanuke kuwa wameingizwa mkenge ni too late
Wasanii ni watu ambao hawataki kabisa kujiongeza katika career zao ndio mana wanazolewazolewa tu kama ngombe mwisho wa siku mfukoni wanabaki weupe hakuna kitu wanapata ukifatilia izi mikataba za mabango ndio utajua hawa wasanii wetu kweli hamna kitu
They dont know how to value themselves shule pia ni shida hawajui wanachokifanya zaidi ya show off tu mitandaoni
Na mwisho kabisa maradhi huja kuwa mwarobaini wao hatukatai tamaduni za kuchangiana ila leo ukisikia Harmonize anaomba 20m au alikiba kwa ajili ya upasuaji utashangaa kuwa huyu na jina lote hili hata 20m anakosa kwenye akiba zake na collections
Universal kama Universal ni label namba moja kati ya label Tatu zenye nguvu duniani katika tasnia ya burudani ikifuatiwa na Sony na Warner Bros... kujaribu kuiongelea kwa mabaya label kama hiyo ni kama unajizika maana hapo ktk hiyo label kuna makampuni yote ya usambazaji wa kazi za muziki yanayomilikiwa na label hiyo,pia hiyo label inasimamia label kubwa zote kuanzia CASH MONEY RECORDS,DEF JAM RECORDS,ROC NATION,BAD BOYS,INTESRSCOPE n k Diamond Mimi naona bora akae kimya tu akili kumkichwa kwa hao watakaosaini mikataba na universal akijaribu kuipondea tu career yake ndio itakuwa over hatoweza kusurvive
 
Diamond kukaa kimya sio solution
kabisa kama unahisi kumwaga data kwa identity yako ingeleta
au italeta conflit of interest na
universal basi mpe mtu hizo data
azimwage bila hata wewe kujulikana kuwa ndio source wa izo data hio itasaidia sana wasanii wetu hawa ambao kiuhalisia sio wao wala management zao hazina exposure na international affairs kabisa ivo wakisikia tu kitu ni international basi hakuna kusoma terms and conditions wao ni kumwaga tu wino mbele ya mi camera mpaka wasanuke kuwa wameingizwa mkenge ni too late
Wasanii ni watu ambao hawataki kabisa kujiongeza katika career zao ndio mana wanazolewazolewa tu kama ngombe mwisho wa siku mfukoni wanabaki weupe hakuna kitu wanapata ukifatilia izi mikataba za mabango ndio utajua hawa wasanii wetu kweli hamna kitu
They dont know how to value themselves shule pia ni shida hawajui wanachokifanya zaidi ya show off tu mitandaoni
Na mwisho kabisa maradhi huja kuwa mwarobaini wao hatukatai tamaduni za kuchangiana ila leo ukisikia Harmonize anaomba 20m au alikiba kwa ajili ya upasuaji utashangaa kuwa huyu na jina lote hili hata 20m anakosa kwenye akiba zake na collections
Universal kama Universal ni label namba moja kati ya label Tatu zenye nguvu duniani katika tasnia ya burudani ikifuatiwa na Sony na Warner Bros... kujaribu kuiongelea kwa mabaya label kama hiyo ni kama unajizika maana hapo ktk hiyo label kuna makampuni yote ya usambazaji wa kazi za muziki yanayomilikiwa na label hiyo,pia hiyo label inasimamia label kubwa zote kuanzia CASH MONEY RECORDS,DEF JAM RECORDS,ROC NATION,BAD BOYS,INTESRSCOPE n k Diamond Mimi naona bora akae kimya tu akili kumkichwa kwa hao watakaosaini mikataba na universal akijaribu kuipondea tu career yake ndio itakuwa over hatoweza kusurvive
 
Universal kama Universal ni label namba moja kati ya label Tatu zenye nguvu duniani katika tasnia ya burudani ikifuatiwa na Sony na Warner Bros... kujaribu kuiongelea kwa mabaya label kama hiyo ni kama unajizika maana hapo ktk hiyo label kuna makampuni yote ya usambazaji wa kazi za muziki yanayomilikiwa na label hiyo,pia hiyo label inasimamia label kubwa zote kuanzia CASH MONEY RECORDS,DEF JAM RECORDS,ROC NATION,BAD BOYS,INTESRSCOPE n k Diamond Mimi naona bora akae kimya tu akili kumkichwa kwa hao watakaosaini mikataba na universal akijaribu kuipondea tu career yake ndio itakuwa over hatoweza kusurvive
hakuponda alisema kuna mazuri na mabaya kwenye mikataba yao..akatoa mfano wa kutoa nyimbo akisema kuna muda mwingne anataka kutoa nyimbo kimehemko lakini ukiwa na uni basi mikataba inaongea...kiufupi alionyesha kukutana na changamoto lakini akasema wenzake wa wcb hawatopitia hayo aliyopitia yeye
 
Back
Top Bottom