Quest in 2014
BornRichard Austin Quest
9 March 1962 (age 57)
Liverpool, Merseyside, England
NationalityBritish
EducationAiredale and Wharfedale College
University of Leeds
Vanderbilt...
Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies...
Mmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana
Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote...
Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show ,
Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
Sikiliza Wimbo wa Rosa Ree Ambao Harmonize Alitumia Beat Yake Bila Ruhusa na Kusababisha Rosa Kumshtaki youtube, Harmonize siku ya jana alipandisha wimbo katika Youtube channel yake wimbo wa Amen...
Jacqueline Obeid ‘Poshy Queen’
BAADA ya madai kusambaa kuwa mrembo anayetingisha jiji kutokana na umbo lake namba nane, Jacqueline Obeid ‘Poshy Queen’ ametengeneza umbo nchini Afrika Kusini na...
Leo asubuhi nikiwa katika pitapita zangu nimekutana na mtu akimpongeza Mboni kwa kujifungua mtoto wa kiume.
Hii imekuja kama suprise kwangu kwani wakati wote wa ujauzito alikuwa kimya tofauti na...
Zuhura Kopa ajulikanaye kama ZUCHU, juma moja lililopita alifanya show Mlimani City hall, ilikuwa mbaya lakini kwa kuanzia siyo mbaya kwakuwa kila mtu huanzia chini na kupanda polepole.
Vijana wa...
Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati...
#KimKardashian has finally broken her silence about her #husband #KanyeWest's recent rants on #Twitter.
==
Kim Kardashian has finally broken her silence about her husband Kanye West's recent...
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama...
Mmarekani mweusi Nick Cannon (39) ambaye anafahamika zaidi kama muigizaji, mchekeshaji na mtangazaji ametuhumiwa kwa ubaguzi baada ya kuwafananisha wazungu na wanyama
Kupitia kipindi chake...
Socialite wa mitandaoni kutoka Nigeria, mfanyabishara hewa Hushpuppi aliekamatwa mwezi uliopita mjii Dubai amehamishiwa Marekani na kusomewa mashtaka ya utakatishaji pesa na uhalifu wa kimtandao...
Sijui hata nimewaza nini!
Naiona nguvu kubwa ikitumika kumtambulisha mmiliki wa CMG Bwana Joe Kusaga, ni kama Mkurugenzi mpya vile kumbe ni yule yule aliyekuwa tangu kuasisiwa kwa kampuni hiyo...
Hakuna ubishi!
Taarabu imepoa bila uwepo wa Mfalme!
Hakuna ushindani wenye tija,na wala hakuna burudani ya maana!
Kanumba,alikufa akaondoka na Bongo Movie!
Yakabaki mauzauza!
Mzee bado u hai,ebu...
Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si...
#JenniferLopez went out #east but her plans went #south. The “#Dinero” #singer was all set for a beach day in the Hamptons this week when she was left #stranded after her #transportation was...
Come easy go easy..... Hakuna mapenzi mpaka kufikia kuvishana pete ndani ya masaa 48 tangu kufahamiana... Hapo lazima mmoja apigwe
Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii...
Tangu harmonize aitambulishe album yake ya afro east, tayari ameachia official video kwa takribani ngoma 7 youtube bt amekua na takwimu mbovu ukilinganisha na zuchu alie tambulishwa nyuma ya afro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.