Huku Mjadala Ukiendelea humu JF kati ya Rosa na Chemical nani Mkali, Rosa Ree usiku wa leo amedrop kichupa cha ngoma yake mpya aliyomshirikisha Rapper Kutoka South Afrika Emtee...
Kitazame
<center></center>
Tuendeleee kujadiliana
Huku Mjadala Ukiendelea humu JF kati ya Rosa na Chemical nani Mkali, Rosa Ree usiku wa leo amedrop kichupa cha ngoma yake mpya aliyomshirikisha Rapper Kutoka South Afrika Emtee...
Kitazame
<center></center>
Tuendeleee kujadiliana
Bro Video ndio imetoka usiku uliopita, ila audio ilitoka Jumataturosa lee noma sema ngoma imetoka juzi mkuu acha kutulusha
Bro Video ndio imetoka usiku uliopita, ila audio ilitoka Jumatatu
Ni Rosa Ree bro....tofautisha kati ya R na LRosa Lee ndiyo nani?
Kabisa Rosa Lee is overated video bora na fu-ck fu-ck zinawachanganya watz ila wangekuwa na management na platform sawa chemical ni mkali sana kuanzia uandishi na flowHuyo demu ...anafaidika na Tabia za ukanda tu walizonazo kina adam mchomvu .na b12 dhidi ya kaskazini na sio vinginevyo....hamuwezi hata kidogo yule Tom boy """ tom yuko vizuri aiseee..sema tu hana management nzuri""... ukali wa video sio uwezo wa mtu kwenye uandishi /kuimba/Ku flow.... havihusiani hata
wanajua basi hao " ni sawa na kusema " kuwa Dogo Janja nimkali zaidi ya Young d " kisa tu anAfanya video Kali " na anaishi kwenye Mazingira chanya zaidi kimaisha kuliko young d "......Kabisa Rosa Lee is overated video bora na fu-ck fu-ck zinawachanganya watz ila wangekuwa na management na platform sawa chemical ni mkali sana kuanzia uandishi na flow
Kabisa mkuu yani uliotoa ni mfano halisi kabisawanajua basi hao " ni sawa na kusema " kuwa Dogo Janja nimkali zaidi ya Young d " kisa tu anAfanya video Kali " na anaishi kwenye Mazingira chanya zaidi kimaisha kuliko young d "......
hahaha ndio hivyo "" watakuja kusema drake nimkali kuliko Nas"",,. hawanaga jicho la Tatu HawaKabisa mkuu yani uliotoa ni mfano halisi kabisa
Chemical anaandika afu anafiti popote. Yani ni middle kishetiHuyo demu ...anafaidika na Tabia za ukanda tu walizonazo kina adam mchomvu .na b12 dhidi ya kaskazini na sio vinginevyo....hamuwezi hata kidogo yule Tom boy """ tom yuko vizuri aiseee..sema tu hana management nzuri""... ukali wa video sio uwezo wa mtu kwenye uandishi /kuimba/Ku flow.... havihusiani hata