Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi...
3 Reactions
69 Replies
12K Views
Naimani ulitegemea ujio wako utatrend machochoro zote ila mwisho wa siku imekuwa kawaida sana tena umekuja kipindi watz wapo bize na morrison. Mapokezi ya kawaida, show mbovu na umepoteza mvuto...
7 Reactions
74 Replies
8K Views
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya...
5 Reactions
110 Replies
16K Views
Haji Manara " Bugatti" ameandika "Shughuli ilikuwa hapa, Dua alizosoma Nassib sio za nchi hii, hakuacha Dua hadi helicopter ilipotua, sasa wakati chuma kinakata kona kuingia kwa Mkapa,, Nassib...
8 Reactions
58 Replies
7K Views
Ama kweli duniani hakuna mwembamba, Bill Nass tangu aanze kupiga mboga saba(msosi kama anasukuma kete za drafti) kwanza kunenepa, hakuna mwembamba dunia hii. Kamanda ana kazi ya kulala na kushika...
17 Reactions
38 Replies
8K Views
Ifike wakati washauri wa wasanii hawa wawaze nje ya Box. Kwanza kutumika tu na Yanga ni kuiga walichafanya Mikia (Simba) lakini Kama haitoshi na nyimbo uliotunga ni umecopy Kama sio kubadili tu...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Hitmaker wa "Mama Kijacho" Tundaman asema kwamba "dume suruali" ya mwana fa alomshirikisha mwanadada v-money asema lilikuwa wazo lake. Ni kweli wazo la wimbo wa "Dume suruali" lilianzia...
1 Reactions
38 Replies
11K Views
Je, na wewe ni moja ya wanaoamini Senzo alishakufa? Je, na wewe unaamini kuwa Lucky Dube ndiye aliyefanya conspiracy ili Senzo auwawe? Angalia hii documentary. .
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Hivi mnamuelewa Aslay, labda nianze kuwauliza ndugu zangu, maana nilishafikiria Sana mpaka nimeona niwasharikishe na nyinyi. Aslay ni Moja ya Wasanii Wazuri Sana Bongo na wanakipaji cha Hali ya...
10 Reactions
60 Replies
13K Views
Hii ngoma ilitikisa sana enzi hizo za 41 records kwa dunga
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Kuna siku nilimsihi MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine badala ya muziki pekee. Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya 'body spray'. Hii ni hatua kubwa...
6 Reactions
52 Replies
8K Views
Habari za asubuhi members wa JF. Kuna siku Jumamosi ile ya wiki iliyopita nikiwa ninafunga ubuyu kwenye mfuko na kuchomea na kibatari kwa ajili ya kwenda kuuza kwa wanafunzi pale shule ya...
24 Reactions
193 Replies
39K Views
  • Closed
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Lucky Moyo mashine hatupo naye tena duniani. Kabla ya kufikwa na umauti ,Lucky alikuwa anaumwa sana japo mashoga wenzake walikuwa wamejitenga naye...
3 Reactions
172 Replies
33K Views
Katika birthday ya Gigy Money nimemuona Boyfriend wake akihojiwa You Tube. Huyu Mchuchu wake anaongea kingereza tu. Sijasikia akiongea kiswahili, je sio Mtanzania?
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mtangazaji kijana wa TBC ambae angalau anaipa tbc heshima ana akili na maarifa makubwa ya tasnia ya habari. Kijana huyu anayeendesha kipindi cha kuwahoji watu nadhani kinaitwa hivyohivyo Khalid...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
WanaJamiiForums habari za mchana, Yule Daktari bilionea maarufu nchini kwa sasa ameonekana wilayani Kahama akiwa ni mgeni maalumu katika uzinduzi wa chuo hicho ambao unafanyika leo.. Picha zaidi...
45 Reactions
345 Replies
62K Views
Nilikuwa natazama animation flani ya muda inaitwa Bellarina sasa kuna wimbo ukapigwa unaitwa suitcase ukanivutia nikataka kujua kauimba nani. Ndipo nikaja kugundua ni mwanamama mzaliwa wa...
16 Reactions
117 Replies
16K Views
Ujio mpya wa muimbaji wa Rose Muhando umefufua matumaini mapya kwa washabiki wake ambao walikosa matumaini baada ya muimbaji huyu kupitia misukosuko mingi ya kimaisha na kijamii. Akiwa katika...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake...
16 Reactions
347 Replies
51K Views
Baada ya Kimya cha Muda mrefu, hatimaye Mkali wa Muziki wa Bongo Fleva richmavoko amerudi na taarifa Kubwa na nzuri kwa mashabiki Zake, baada ya kutangaza kuachia #MiniTape yake Tar 7 mwezi huu...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Back
Top Bottom