Mzee Yusuph, waliokushauri wamekudanganya

Kendrick Rama

JF-Expert Member
May 22, 2019
409
455
Naimani ulitegemea ujio wako utatrend machochoro zote ila mwisho wa siku imekuwa kawaida sana tena umekuja kipindi watz wapo bize na morrison.

Mapokezi ya kawaida, show mbovu na umepoteza mvuto, na kilichobaki ni aibu na fedheha kwa upande wako. Kifupi muziki wa taarabu umeshakufa na kuzikwa muda mrefuuu na kamwe hautofufuka tena cz hauna mashabiki iwe bara iwe pwani na mambo ya vigodoro yalishafutwaga kitambo, na maukumbini tunaluka singeli za kina miss buza,

Najua global walikupamba tuh ili waingize pesa pale darLive ila kiukweli huna chamaana. Ndugu zako wakina Adija kopa, Isha mashauzi wameamia kwenye bfleva.
nb;

Mziki sio shule huwezi jipa likizo😤
 

Attachments

  • VID-20200812-WA0014.mp4
    15.3 MB
Back
Top Bottom