Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,608
Ujio mpya wa muimbaji wa Rose Muhando umefufua matumaini mapya kwa washabiki wake ambao walikosa matumaini baada ya muimbaji huyu kupitia misukosuko mingi ya kimaisha na kijamii.
Akiwa katika studio za Wasafitv, dada Rose ameimba kwa hisia na mguso wa hali ya juu, jambo ambalo limewagusa wengi pamoja na watangazaji wa kipindi hiki cha dini yaani Lilian Mwasha na Emanuel Mgaya a.k.a Masanja mkandamizaji.
Jambo hili limenigusa mimi binafsi, hivyo namtakia mafanikio katika safari yake mpya ya huduma hii ya uimbaji.
Shukrani ziwaendee Watumishi wa Kenya waliomwinua kutoka matopeni, wakamfuta na wakamtia moyo kuwa ##anaweza kusimama tena##
Kwetu Watanzania hatunaga muda wa kutengeneza bali kula vilivyo tayari na KUBOMOA.
Mungu atusaidie, Mungu amsimamie Rose...Amen
Akiwa katika studio za Wasafitv, dada Rose ameimba kwa hisia na mguso wa hali ya juu, jambo ambalo limewagusa wengi pamoja na watangazaji wa kipindi hiki cha dini yaani Lilian Mwasha na Emanuel Mgaya a.k.a Masanja mkandamizaji.
Jambo hili limenigusa mimi binafsi, hivyo namtakia mafanikio katika safari yake mpya ya huduma hii ya uimbaji.
Shukrani ziwaendee Watumishi wa Kenya waliomwinua kutoka matopeni, wakamfuta na wakamtia moyo kuwa ##anaweza kusimama tena##
Kwetu Watanzania hatunaga muda wa kutengeneza bali kula vilivyo tayari na KUBOMOA.
Mungu atusaidie, Mungu amsimamie Rose...Amen