elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Nilikuwa natazama animation flani ya muda inaitwa Bellarina sasa kuna wimbo ukapigwa unaitwa suitcase ukanivutia nikataka kujua kauimba nani.
Ndipo nikaja kugundua ni mwanamama mzaliwa wa australia ambaye anaishi US anaitwa Sia.
Nikatafta nyimbo zake nyingine youtube nikakutana masong makali kama never give up, unstoppable, na mengine mengi kwa wale wapenda nyimbo strong za ballard huyu mama hatari na nyimbo zake full maujumbe.
Ndiye alishiriki kuandika diamond ya rihanna, kaandika nyimbo na celline dion, push T na nyingne nyingi.
Ndipo nikaja kugundua ni mwanamama mzaliwa wa australia ambaye anaishi US anaitwa Sia.
Nikatafta nyimbo zake nyingine youtube nikakutana masong makali kama never give up, unstoppable, na mengine mengi kwa wale wapenda nyimbo strong za ballard huyu mama hatari na nyimbo zake full maujumbe.
Ndiye alishiriki kuandika diamond ya rihanna, kaandika nyimbo na celline dion, push T na nyingne nyingi.