Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kiukweli katika wanawake ambao Mavoko anawapenda sana basi Gigy Money anaongoza. Lakini kwa mujibu wa Gigy Money anadai aliachana na Mavoko kwa sababu Mavoko anakibamia halafu ni goi goi...
1 Reactions
65 Replies
13K Views
Narudia wanawake wote duniani ni Freemason walio ktk madaraja au vyeo mbalimbali ila wanaume ni wachache na ndio hao wenye vyeo na umaarufu Mwanamuziki Diamond mwanzo hakuwa Freemason ila...
6 Reactions
67 Replies
18K Views
Siku za hivi karibuni mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya ccm Mh Magufuli amewatunukia nishani mpya ya Kofia baadhi ya wasanii kama ishara ya kuthamini mchango wao kwenye jukwaa la kampeni...
10 Reactions
47 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa jarida la @forbes, Kanye West ana utajiri wa Dola Bilioni $1.3 na kumfanya kuwa msanii wa Hip Hop mwenye mkwanja mrefu zaidi kwa mwaka 2020. Asilimia kubwa ya mkwanja huo, Kanye...
4 Reactions
70 Replies
13K Views
Kenedy Perfect Tumalize ubishi hapa. Who is the best presenter. Povu ruksa...ukila ban kalale.
1 Reactions
42 Replies
14K Views
Kuna uzi wa kupotosha umefunguliwa ukilenga kupotosha watu dhidi ya wimbo wa msanii Diamond uliotolewa hivi karibuni na naona unazidi kupata umaarufu mkubwa hapa jukwaani. Na wachangiaji wake...
5 Reactions
49 Replies
4K Views
Habari nzuri, Msanii wetu wa Tanzania Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo ilipo kwenye album mpya ya Alicia Keys. Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha list ya nyimbo...
10 Reactions
98 Replies
15K Views
Watu wengi sina hakika kama wanaliona hili ila Muziki wa Bongo fleva kwa kifupi umeingiliwa, umechakachuliwa na too bad ni kama unakufa. Nadhani wanaopenda muziki kama mimi wanapata tabu tu na...
16 Reactions
102 Replies
10K Views
Toka Clouds Tv wamerudi toka kifungo cha wiki moja simuoni Baby Kabae na Sam Sasali katika kipindi chao cha asubuhi -- Clouds 360. Je, wameondoshwa kwa maslahi ya umma?
1 Reactions
29 Replies
12K Views
Naona nyota ya huyu binti Ni Kali si mchezo tangu atambulishwe kwenye game haizidi hata miezi 6 ngoma zake alizoachia zimempa nominees kwenye tuzo za Afrimma kuania kwenye vipengele viwili Cha...
6 Reactions
92 Replies
10K Views
Pongezi kwa kusimamia weledi wa fani yenu. Nakumbuka tangu Uchaguzi Mkuu wa 2010, 2015 na wa mwaka huu mmeendelea na msimamo wenu wa kutotumika kupiga kampeni kwenye upande wowote wa siasa. Hii...
21 Reactions
33 Replies
5K Views
Wasanii wawili waliokimbia label ya king's music ya Alikiba, Cheed na Killy hatimaye wametambulishwa rasmi katika label ya Kondegang ya Harmonize. Kwa sasa label hiyo ina jumla ya wasanii 5 tangu...
8 Reactions
164 Replies
18K Views
Wasalaam wadau natumai mko salama kabisa..Direct to the point. Dj wa Clouds Media Group(CMG) Bwana Omary Said aka Dj D-Ommy,The International DJ,Mr.Washawasha,Jitu nene.Chalii mwenye mikono yenye...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hatimaye mchezaji wa mpira wa migiuu wa timu ya Juventus ya Italia hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Georgina. Pete hio ya almasi ina thamani ya pesa za kitanzania Bilioni 1.8. If...
6 Reactions
42 Replies
6K Views
Sijui ndiyo ubunifu umeisha yaani wame copy na ku paste usher Raymond alivyovaa na kufunga kitambaa, ndivyo Diamond alivyofanya kwenye hii video mpya,hadi ma dancers[emoji23]nimeshindwa kuileta...
5 Reactions
54 Replies
6K Views
Habarini wadau, Katika filamu ambayo niliipenda sana na kuangalia kwa zaidi ya mara 2 au 3 ni pamoja na TERMINATOR 2, The Judgement Day. Kuna huyu Dogo aliyeitwa John ambaye alipenda sana...
6 Reactions
31 Replies
5K Views
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye...
10 Reactions
112 Replies
19K Views
Mwigizaji Stevie Lee ambae alinogesha sana filamu za Jackass 3D na Death Match amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 54. Stevie Lee ambaye pia ni Mwanamieleka Los Angeles Marekani amefariki...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
OK Niende direct baba levo anajiskiaje right now baada ya wasafi FM kufungiwa kwa siku 7 sababu ikiwa ni yeye...siku ya Jana TCRA wameifungia wasafi FM isiwe hewani mpaka tarehe 18 Kisa maudhui...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari wanajukwaa. Mara kadhaa kupitia kwa watu, mitandao ya kijamii na redio, nimekuwa nikilisikia sana jina la mwanadada aitwaye Beatrice Ndung'u, likitajwa sana katika ulingo wa burudani. Je...
3 Reactions
32 Replies
8K Views
Back
Top Bottom