Hivi unajisikiaje kuiingizia kampuni hasara

Jerry Rebiam

JF-Expert Member
May 22, 2016
402
357
OK

Niende direct baba levo anajiskiaje right now baada ya wasafi FM kufungiwa kwa siku 7 sababu ikiwa ni yeye...siku ya Jana TCRA wameifungia wasafi FM isiwe hewani mpaka tarehe 18 Kisa maudhui yaliyokosa maadili hususan kwenye kipindi cha mashamsham ya dida double d na the switch ya kina lil ommy ambapo kwa the switch ni pale baba levo alipowaongelea vibaya wanawake wanene...na nlipopata nafasi ya kuskia alichotamka baba levo akiwa live kwenye the switch nikaona jins gani Almas alikosea kumuajiri kama mtangazaji wa kipind cha heshima kama mgahawa


NITAMISS SPORTS ARENA HASA BAADA YA LIGI KUU KUWA MOTO NA EPL KUANZA
 
OK

Niende direct baba levo anajiskiaje right now baada ya wasafi FM kufungiwa kwa siku 7 sababu ikiwa ni yeye...siku ya Jana TCRA wameifungia wasafi FM isiwe hewani mpaka tarehe 18 Kisa maudhui yaliyokosa maadili hususan kwenye kipindi cha mashamsham ya dida double d na the switch ya kina lil ommy ambapo kwa the switch ni pale baba levo alipowaongelea vibaya wanawake wanene...na nlipopata nafasi ya kuskia alichotamka baba levo akiwa live kwenye the switch nikaona jins gani Almas alikosea kumuajiri kama mtangazaji wa kipind cha heshima kama mgahawa


NITAMISS SPORTS ARENA HASA BAADA YA LIGI KUU KUWA MOTO NA EPL KUANZA
Unapozungumzia Matusi basi pale WCB ndo timu iko uwanja wa nyumbani. Refers Nyimbo za Diamond utathibitisha hili. Wenzako hapo wanahesabia Ajali kazini tu.
 
OK

Niende direct baba levo anajiskiaje right now baada ya wasafi FM kufungiwa kwa siku 7 sababu ikiwa ni yeye...siku ya Jana TCRA wameifungia wasafi FM isiwe hewani mpaka tarehe 18 Kisa maudhui yaliyokosa maadili hususan kwenye kipindi cha mashamsham ya dida double d na the switch ya kina lil ommy ambapo kwa the switch ni pale baba levo alipowaongelea vibaya wanawake wanene...na nlipopata nafasi ya kuskia alichotamka baba levo akiwa live kwenye the switch nikaona jins gani Almas alikosea kumuajiri kama mtangazaji wa kipind cha heshima kama mgahawa


NITAMISS SPORTS ARENA HASA BAADA YA LIGI KUU KUWA MOTO NA EPL KUANZA
Mtangazaji wa aina hiyo hafai kurudi tena hewani
 
OK

Niende direct baba levo anajiskiaje right now baada ya wasafi FM kufungiwa kwa siku 7 sababu ikiwa ni yeye...siku ya Jana TCRA wameifungia wasafi FM isiwe hewani mpaka tarehe 18 Kisa maudhui yaliyokosa maadili hususan kwenye kipindi cha mashamsham ya dida double d na the switch ya kina lil ommy ambapo kwa the switch ni pale baba levo alipowaongelea vibaya wanawake wanene...na nlipopata nafasi ya kuskia alichotamka baba levo akiwa live kwenye the switch nikaona jins gani Almas alikosea kumuajiri kama mtangazaji wa kipind cha heshima kama mgahawa


NITAMISS SPORTS ARENA HASA BAADA YA LIGI KUU KUWA MOTO NA EPL KUANZA
Sikiliza Sports Headquarters ya E fm. Hiyo nyingine ni copy tu.
 
Back
Top Bottom