Ukicopy anachofanya mwingine ukafanikiwa you're smart Ila ukitaka kujiona wewe ni kichwa ngumu ufanye yako usifanikiwe you're stupidHivi bado watu wa type yenu mpo!??
Too old...
kama nguvu za giza zinasaidia washirikina wasingekua maskini vileHuko Wcb kinacho wabeba kwa sasa ni nguvu za Giza ila kimuziki wameporomoka sanaaa
Hapana mi sioni ubaya kwenye Ku copy hawajaishiwa Ila wanajaribu kuonesha hata sisi tunaweza kufanya Kama Wazungu.WCB kucopy ni kawaida yao, wala hakuna cha ajabu, yaan wameishiwa kabisaaaah. Poor WCB
Mmmmmh hakuna lolote, wameishiwa tyuuuh.Hapana mi sioni ubaya kwenye Ku copy hawajaishiwa Ila wanajaribu kuonesha hata sisi tunaweza kufanya Kama Wazungu.
Ila sawa si bora wao wanacopy Ila fans wao wanawakubali na wamefanikiwa kimuziki East Africa and they earn moneyMmmmmh hakuna lolote, wameishiwa tyuuuh.
Kwa hiyo tukusaidie nini ?Sijui ndiyo ubunifu umeisha yaani wame copy na ku paste usher Raymond alivyovaa na kufunga kitambaa, ndivyo Diamond alivyofanya kwenye hii video mpya,hadi ma dancersnimeshindwa kuileta video ya naughty girl ya Beyonce.
Wewe mwenyewe tabia za kishoga umekopi, Kataa!!!!!WCB kucopy ni kawaida yao, wala hakuna cha ajabu, yaan wameishiwa kabisaaaah. Poor WCB
vipi kwan unateseka? PoleeeeehWewe mwenyewe tabia za kishoga umekopi, Kataa!!!!!
🤣🤣🤣🤣🤣 Jibu takatifu aiseeeWewe mwenyewe tabia za kishoga umekopi, Kataa!!!!!