princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Wasalaam wadau natumai mko salama kabisa..Direct to the point.
Dj wa Clouds Media Group(CMG) Bwana Omary Said aka Dj D-Ommy,The International DJ,Mr.Washawasha,Jitu nene.Chalii mwenye mikono yenye kasi na nguvu.
Amewekwa kwa mala nyingine tena na@afrimma kuwania kipengele cha Dj bora wa Afrika.
Kipengele hiki ni kigumu sana maana kina ma'Djs wakubwa mno barani Afrika kama kina DJ Black Coffee,Dj Tira,Dj Euphonik wa South Africa,Pamoja na Dj Spinall,Dj Neptune,Dj Ecool wa Nigeria,Dj Slim wa Ghana.
Turudisheni mzigo nyumbani kwa mala nyingine tena,To vote link kwenye Bio yake ya@djdommy...Pia jinsi ya kumpigia kura chalii tembelea tovuti ya afrimma http://afrimma.com/nominees-for-2019/
@ChaliiYaKijengeJuu.
Dj wa Clouds Media Group(CMG) Bwana Omary Said aka Dj D-Ommy,The International DJ,Mr.Washawasha,Jitu nene.Chalii mwenye mikono yenye kasi na nguvu.
Amewekwa kwa mala nyingine tena na@afrimma kuwania kipengele cha Dj bora wa Afrika.
Kipengele hiki ni kigumu sana maana kina ma'Djs wakubwa mno barani Afrika kama kina DJ Black Coffee,Dj Tira,Dj Euphonik wa South Africa,Pamoja na Dj Spinall,Dj Neptune,Dj Ecool wa Nigeria,Dj Slim wa Ghana.
Turudisheni mzigo nyumbani kwa mala nyingine tena,To vote link kwenye Bio yake ya@djdommy...Pia jinsi ya kumpigia kura chalii tembelea tovuti ya afrimma http://afrimma.com/nominees-for-2019/
@ChaliiYaKijengeJuu.