Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kumbukizi ya kuvutia kabisa kwa Wahenga Kijana Michael alikuwa na nyota ya kupendwa Sana
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Hiv karibuni Marioo ameuzishwa na kutaka kujinyonga kisa mapenzi. Na hii Ni baada ya kupost kitanzi bila caption na watu kutafsiri anajinyonga kumbe ametoa wimbo unahusiana na kicho kitanzi...
8 Reactions
11 Replies
4K Views
WCB (Wasafi Classic Baby) nadhani nikisema hivyo kila mtu anaelewa. WCB nadhani kwa sasa ndio label iliyoshikilia industry ya Bongo Fleva hawa watu wako very Creative na Wanafikra yakinifu. Tena...
11 Reactions
83 Replies
8K Views
Sisi Wataalam wa Masuala ya Music tulitaadharisha mapema kuhusu ku-copy Copy oneni aibu inayomkuta huyu mwanamziki wenu aliyeishiwa Kabaki kubebwa na Vikolabo vyenyewe vya ku-copy 90%...
4 Reactions
60 Replies
8K Views
Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa...
4 Reactions
69 Replies
10K Views
  • Closed
Wasalaam wana Jamvi! Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”...
33 Reactions
655 Replies
70K Views
Hivi karibuni kuna mtu anaijiita Tony Anton alifuta ngoma ya Cheche na akaifanya isipatikane YouTube kwa siku mbili, baada ya huo mkasa kutokea uongozi wa WCB kwenye department ya digital platform...
2 Reactions
62 Replies
6K Views
Baada ya Alikiba Kuachia nyimbo yake ya MEDIOCRE na kufanya mitandao yeye na Hasim wake kuwa Gumzo na kupelekea watu Kutafsiri kuwa Alikiba kamtupia Dongo Diamond na kufanya yule kijana wa...
1 Reactions
66 Replies
9K Views
Wasalaam wana jamvi.... Msanii Q-Chillah toka juzi hajulikani alipo na watu wakaribu yake wameshindwa kumpata hadi sasa si kwenye simu au uso kwa uso na hawana taarifa yeyote popote alipo...
5 Reactions
120 Replies
17K Views
Daaaaaah Habarini Wana jamvi...? Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na muda wake, leo ndio nimekubali huu msemo. Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa...
24 Reactions
330 Replies
31K Views
Kampuni ya maziwa ya @TangaFresh leo Septemba 17, 2020, imeingia mkataba na msanii wa bongo fleva @mbosso_ kuwa balozi wa bidhaa za maziwa ya kampuni hiyo, kushoto kwenye picha ni Alex Chonge...
8 Reactions
16 Replies
4K Views
Hii ndiyo zawadi aliyopewa Mose Iyobo na Diamond na ameandika maneno haya.
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Mume wa msanii Alicia Keys, Swizz Beatz amelazimika kuingilia kati baada ya mashabiki wa Diamond Platnumz kumshambulia mke wake mtandaoni kwa kumshirikisha Diamond kwenye wimbo wake wa Wasted...
3 Reactions
48 Replies
8K Views
Team Kiba wote leo imekuwa siku yetu nzuri Baada ya Msanii wetu pendwa Ali Salehe Kiba kutunukiwa zawadi na Rais wetu Mpendwa Dkt. John Joseph Magufuli. Mimi kama kijana na Mpenzi wa Muziki wa...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Soudy brown Hanaga mambo ya Kiki Huyu Yuko naumbewa wake Sam-Misago Mwansishi wa habar popular Mzeemkavu Mzee wa shilawadu mnyaki hanaga Kiki za kijinga Dullavan Mchekeshaji....Hana...
2 Reactions
60 Replies
6K Views
Bila kutaja sababu, kupitia ukurasa wake wa instagram diva the bawse ametangaza rasmi kuacha kazi. Ameandika hivi:
3 Reactions
91 Replies
15K Views
Hiv karibuni wasafi FM ilifungiwa kutokana na kosa la Baba levo kuongea lugha fulani ambayo sio nzuri kwenye kipindi. Baada ya media kufungiwa boss wao Diamond Platnumz ndo kwanza akawapeleka...
42 Reactions
91 Replies
13K Views
Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa tz kwa ujumla mimi huyu hapa
1 Reactions
214 Replies
54K Views
Nakumbuka kwenye moja ya tukio niliona ukimuenzi Marehemu Dr Remmy. Hiyo ni sawa kabisa ila pia kwa upande mwingine kuna Marehemu Halila Tongolanga ambaye umerudia moja ya wimbo wake maarufu wa...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Huyu Mwana mama anaitwa Juhayna Zaghalulu Ajmy ni Mke wa Joseph Kusaga Josepg Kusaga - Clouds Media Juhayna Zaghalulu - Wasafi
7 Reactions
77 Replies
19K Views
Back
Top Bottom