Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Watu wengi sina hakika kama wanaliona hili ila Muziki wa Bongo fleva kwa kifupi umeingiliwa, umechakachuliwa na too bad ni kama unakufa.
Nadhani wanaopenda muziki kama mimi wanapata tabu tu na hawana la kufanya.
Na katika hili Clouds media ( Hususani marehemu Ruge ) hawezi kuepuka lawama.
Sababu:
1. Kwanza Tasnia ya mapromota Tanzania imekufa. Hakuna kabisa independent music promoters.
- Yaani hapa media ( au media related promoters ) ndio promoters kwenye muziki na wanamiliki wasanii.
2. Media ( hususani ambazo zimechagua niche ya burudani ) zimegeuka Record labels, waandaaji wa matamasha na promoters.
UFAFANUZI.
Ukuchagua kuwa mwanamuziki ( hata ukiwa na kipaji kama Michael Jackson ) kwanza bila kuwa katika upande mmoja muziki wako hauwezi kwenda.
- Hapa kuna pande kubwa 4.
1. Clouds media ( Waandaaji wa Fiesta )
2. Wasafi Media ( Waandaaji wa Wasafi festival )
Note: Waandaaji wa Tamasha la Fiesta na Wasafi festival ni kanpuni moja Prime time promotions ya Juhayna Kusaga.
3. Efm ( Waandaaji wa Muziki Mnene - hawa tamasha lao ni bure ).
4. Lastly, ni East Africa TV ( hawa hawana tamasha, ila hutoa tu suppory ).
So, bila kuwa associated na media mojawapo hapo juu maana yake hutapata Show wala promo kupitia media yao mwaka mzima🤣🤣🤣 ( Maana wanatoa promo kwa wasanii ambao finally watawtumia kwenye matamasha yao kwa ujira mdogo. )
Hapa hata wakikwambia ufanye tamasha bure, utafanya kama malipo ya promo na support uliyopewa.
- Pia, ukijinasibisha na media mojawapo tafsiri ni kwamba, hupati support kutoka media nyingine.
Na Kwasababu ya promo kubwa inayofanywa, tayari mashabiki wako brainwashed, wapo wapo tu kama waumini wa Gwajima.
Na hapa ndipo Muziki wa Tanzania ulipofikia, huhitaji kuwa na kipaji kuimba, unahitaji kuwa kwenye kundi mojawapo hapo juu.
Kwahiyo kwa wale wanaooenda muziki mzuri ( siyo wa kulishwa kwa lazima wajue hili )
Je, Tunaelekea wapi ?
Nadhani wanaopenda muziki kama mimi wanapata tabu tu na hawana la kufanya.
Na katika hili Clouds media ( Hususani marehemu Ruge ) hawezi kuepuka lawama.
Sababu:
1. Kwanza Tasnia ya mapromota Tanzania imekufa. Hakuna kabisa independent music promoters.
- Yaani hapa media ( au media related promoters ) ndio promoters kwenye muziki na wanamiliki wasanii.
2. Media ( hususani ambazo zimechagua niche ya burudani ) zimegeuka Record labels, waandaaji wa matamasha na promoters.
UFAFANUZI.
Ukuchagua kuwa mwanamuziki ( hata ukiwa na kipaji kama Michael Jackson ) kwanza bila kuwa katika upande mmoja muziki wako hauwezi kwenda.
- Hapa kuna pande kubwa 4.
1. Clouds media ( Waandaaji wa Fiesta )
2. Wasafi Media ( Waandaaji wa Wasafi festival )
Note: Waandaaji wa Tamasha la Fiesta na Wasafi festival ni kanpuni moja Prime time promotions ya Juhayna Kusaga.
3. Efm ( Waandaaji wa Muziki Mnene - hawa tamasha lao ni bure ).
4. Lastly, ni East Africa TV ( hawa hawana tamasha, ila hutoa tu suppory ).
So, bila kuwa associated na media mojawapo hapo juu maana yake hutapata Show wala promo kupitia media yao mwaka mzima🤣🤣🤣 ( Maana wanatoa promo kwa wasanii ambao finally watawtumia kwenye matamasha yao kwa ujira mdogo. )
Hapa hata wakikwambia ufanye tamasha bure, utafanya kama malipo ya promo na support uliyopewa.
- Pia, ukijinasibisha na media mojawapo tafsiri ni kwamba, hupati support kutoka media nyingine.
Na Kwasababu ya promo kubwa inayofanywa, tayari mashabiki wako brainwashed, wapo wapo tu kama waumini wa Gwajima.
Na hapa ndipo Muziki wa Tanzania ulipofikia, huhitaji kuwa na kipaji kuimba, unahitaji kuwa kwenye kundi mojawapo hapo juu.
Kwahiyo kwa wale wanaooenda muziki mzuri ( siyo wa kulishwa kwa lazima wajue hili )
Je, Tunaelekea wapi ?