Naona nyota ya huyu binti Ni Kali si mchezo tangu atambulishwe kwenye game haizidi hata miezi 6 ngoma zake alizoachia zimempa nominees kwenye tuzo za Afrimma kuania kwenye vipengele viwili Cha best Female East Africa na best new coming artist
Kama wewe unavyo zipitia sahivi et..Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Mi sio msanii siwezi kuzipitia mwisho wanaishia pabaya hao 6 month msanii kashakuwa female artistKama wewe unavyo zipitia sahivi et..
Afrima hazijawahi kuwa tuzo zenye hadhi. Ni tuzo za kitapeli tu zenye madhumuni ya kibiashara zilizoanzishwa na wanaijeria.Aiseee tuzo zimeshuka hadhi
Label inayomsimamia inajua nini inafanya...ni muda wake kujitengenezea njia ili huko mbele aje kujisimamiaBinti hana hata miezi sita.. kaanza kuwekwa matuzo ya africa.. huku kina ruby wana miaka na miaka hawawekwi... binti mitandaoni ma subscriber na ma followers kibao wakati katoka juzi juzi tu
Acha wivu na roho ya kichawiHuyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Label inayomsimamia inajua nini inafanya...ni muwa wake kujitengenezea njia ili huko mbele aje kujisimamia
Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Naunga mkojo hoja..Tusio mpenda Zuchu ndo anazidi kutuchanganya zaidi.
Mfano mimi namuona zuchu kama vile ana sauti ya kuimba taarabu na umbea ila nashangaa anavyopaa?
Kwenye maisha kila kitu kina stage na hatua sasa Kama ana kasi hivi akifika mwaka si kashachuja tayariKabla ya kutoka alikaa 4yrs benchi shida mnaangalia watu pale ulipoanza kuwajua na si kuangalia walipotokea.
Ulichoongea hakiendani na mada hongera kwa mjua zuchu toka yupo mdogoHii sasa ndo tunaitaga 'roho ya uchawi'
Mzee baba umeanza kumjua Zuchu baada ya kutambulishwa rasmi na lebo yake na kuanza kuachiwa kwa nyimbo zake
Wala haujui ni kwa muda gani uyo Zuchu alikua anaandaliwa na kupikwa ipasavyo kabla hajawa released
Mkiambiwa WCB msanii anapikwa kwa zaidi ya mwaka mzima mnaona kama vile anaonewa na kucheleweshwa kutoa kazi zake, hayo sasa ndo matokeo ya kuandaliwa ipasavyo,ukapikika na ukaiva vilivyo!
Ondoa fikra potofu kama za mzazi mwenye uwezo mzuri tu wa kifedha na maisha safi,halafu mtoto wake anamsomesha kwenye shule za hali duni (kayumba) na kumpa maisha magumu,eti kisa tu kwakua uyo mzazi nayeye alipitia maisha hayo hayo magumu kabla ya kuwa na maisha mazuri.
Acha uchawi!!!
Sina wivu na waimba taarabu Mimi nimeongea kwa mtazamo wangu Mimi Kama ulikuwa hutaki mawazo tofauti ungekaa kimya na thread yako hiiAcha wivu na roho ya kichawi
Afrima hazijawahi kuwa tuzo zenye hadhi. Ni tuzo za kitapeli tu zenye madhumuni ya kibiashara zilizoanzishwa na wanaijeria.
Ndio maana wao nominees wanaangalia nani anakiki instagram.
Huo uhadhi wanauweka wabongo kwaajili ya kujivimbisha ili waonekane wako juu.