Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kuna artists wawili wakali sana, Ila kwa sasa takribani miezi kadhaa huyu akichia track moja mwenzie atafata soon na vijembe juu Namuongelea Young lunya na Young killer Kuna vijembe wanatumiana...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi? Natumai mu wazima wa afya. Hii imetokea Leo Zanzibar ambapo Zuchu bin kopa Kama The Best female east Africa musician alipotoa performance Kali sana pale viwanja vya mnazi...
6 Reactions
100 Replies
10K Views
Wataalamu wa muziki ebu tukutane hapa kidogo. Hivi kati ya Star Boy Wizkid na Davido nani zaidi kwenye nyanja ya muziki wa Afrika na kuvuka boda huko(U.s.a,U.K n.k) Wizkidayo au Davido?
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Msanii Nandi alipopanda Jukwaani wala Mheshimiwa Rais 'hakushoboka' nae mpaka pale Nandi Yeye kama Yeye alipoamua 'Kujipeleka' Kwake ili avalishwe 'Kofia'. Lakini kwa Msanii Zuchu Yeye alipopanda...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Hey Hey! Note: COVID-19 is REAL Chagua kwa uangalifu wa kumskiliza. BACK TO THE TOPIC. Je, ni msanii gani hapa Tanzania umekuwa unaumia sana akitukanwa au kukosolewa na hivyo kupelekea wewe...
1 Reactions
50 Replies
6K Views
Karibuni clouds wamekuwa wakiandaa show na wasanii kutoka nje ya nchi. Kimbembe kimekuwa kikijitokeza kwenye interview na wasanii hao kwani jina la Diamond limekuwa haliepukiki. Juzi juzi...
17 Reactions
48 Replies
7K Views
Habarini Wana jamvi? Niende moja kwa moja kwenye topic. Kiukweli kitendo Cha Pancho boy kimenisikitisha sana nikiwa Kama mmoja wa wadau wa nguvu kwenye jukwaa hili pendwa la macelebrity...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Mashabiki wa Msanii wa muziki wa BongoFleva, @iambenpol wamekuwa na shauku ya kutaka kufahamu iwapo msanii huyo amefunga ndoa na mpenzi wake @anerlisa kutokea nchini Kenya. Katika mitandao...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Nani ni mpiganaji wako bora katika movie zao mbalimbali ulizoangalia?
3 Reactions
44 Replies
15K Views
DJ Fetty anawa ‘matatizo’ ya Godzilla, aomba asilaumiwe. Aliyekuwa Mtangazaji na mchezea santuri wa Clouds Fm Radio, DJ Fetty amejitenga na lawama zinazotolewa na mashabiki kwenye mitandao ya...
2 Reactions
30 Replies
17K Views
Jamani habarini Wana jamvi Kiukweli sina uteam wowote ila ni mzee wa fact, kutokana na Jana kwenye uzinduzi wa kampeni mkoani Mbeya hii imejidhihirisha wazi kuwa Alikiba amezeeka na amepitwa na...
10 Reactions
61 Replies
7K Views
Anatumia muda mwingi kuangalia kazi za wenzake ili apatemo cha ku-Copy. Msanii wenu kaishiwa mashairi sa hizi kachificha kwe vikolabo uchwara na Zuchu Kwanini anawatelekeza Lavalava za Queen...
5 Reactions
76 Replies
8K Views
Naona alikiba tangu atoe juzi ngoma yake ya mediocre hakaweza kabisa kuwa trending namba one youtube, Tatizo ni nini?
1 Reactions
68 Replies
9K Views
Habari wana. Nimenukuu huu mstari kutoka katika wimbo wa Fid Q Sumu. Unasema"Hawaamini kutengeneza Kiba ama Diamond wawili wanachoamini ni kumshusha mmoja ili mwingine awe dili" Tasnia yetu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Turelax kidogo alafu tupunguze stress. Kisha sikia hii Kama maisha yangekuwa movie nadhani kuna baadhi ya mambo yangekuwa mepesi kwako kuyafanya na ungefurahia sana kuwa katika maisha ya kimovie...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanzo jukwaa hili lilikuwa lina vitu vitamu vinavyohusu ma celebrity wetu na muziki wao kiujumla huku wanajamvi wakigusia pande zote kuhusu muziki wetu na lilinoga sana. Ila majuzi hapa jamvini...
10 Reactions
111 Replies
8K Views
Edo Kumwembe ni mchambuzi mzuri Sana wa soka na anawavutia watu wengi Sana na nilipenda sana awe na kipindi cha muda mrefu wa kufanya uchambuzi nashukuru Mungu amesikia ombi langu na soon atakuwa...
6 Reactions
47 Replies
7K Views
Wasalaam wajamvi Kati ya tasnia inayokuwa kwa haraka sana na yenye mashabiki wengi sana ni muziki na sanaa ya uigizaji Wadau wengi wamewekeza lakini kwenye huu muziki Diamond Platinumz na...
4 Reactions
45 Replies
8K Views
Back
Top Bottom