crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,411
- 3,374
Kuna uzi wa kupotosha umefunguliwa ukilenga kupotosha watu dhidi ya wimbo wa msanii Diamond uliotolewa hivi karibuni na naona unazidi kupata umaarufu mkubwa hapa jukwaani.
Na wachangiaji wake wengi wameonekana kusapoti uzi huu bila kuthibitisha hali inayosababisha kuchafua image ya Msanii Diamond mbele ya jamii bila sababu za msingi.
Mistari halisi ya wimbo wa Diamond inasema
"Wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona petro unaniacha mwenyewe."
akifananisha kitendo cha yeye kuachwa sawa na yesu alivyo muacha petro
yaani main theme hapo ni kuachwa ndio maana katumia kisa kizima cha petro kuachwa na yesu na hajamtaja yesu kama mwanamke.
Ila mtoa mada kasema".... wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe..."
mtoa mada ameamua kutoa neno petro ili kuhalalisha upotoshaji na kumfarakanisha Diamond na jamii ya kikristo.
Hakuna kosa lolote hapo kifasihi zaidi tu tuseme kijana katumia ubunifu.
Wana jf tuwe makini tunapoanzisha na kuchangia uzi tusiwachafue watu mbele ya jamii bila sababu ya msingi.
Na wachangiaji wake wengi wameonekana kusapoti uzi huu bila kuthibitisha hali inayosababisha kuchafua image ya Msanii Diamond mbele ya jamii bila sababu za msingi.
Mistari halisi ya wimbo wa Diamond inasema
"Wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona petro unaniacha mwenyewe."
akifananisha kitendo cha yeye kuachwa sawa na yesu alivyo muacha petro
yaani main theme hapo ni kuachwa ndio maana katumia kisa kizima cha petro kuachwa na yesu na hajamtaja yesu kama mwanamke.
Ila mtoa mada kasema".... wewe ndio wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe..."
mtoa mada ameamua kutoa neno petro ili kuhalalisha upotoshaji na kumfarakanisha Diamond na jamii ya kikristo.
Hakuna kosa lolote hapo kifasihi zaidi tu tuseme kijana katumia ubunifu.
Wana jf tuwe makini tunapoanzisha na kuchangia uzi tusiwachafue watu mbele ya jamii bila sababu ya msingi.