Tarehe 16 April tunaadhimisha miaka 122 sikukuu ya kuzaliwa kwa yule gwiji wa zile sinema za vichekesho namuongelea Sir Charles Spencer "Charlie" Chaplin huyu bwana kwa kweli hatasaulika milele...
Hivi nyimbo kama shangazi ya Mpoki. Utailinganisha na Adela ya Mrisho Mpoto? Msanii kama Mpoki unaweza kumlinganisha na Mrisho Mpoto. Hivi kwa Mashairi ya Shangazi mfano "Umepewa wizara Nyeti...
Eti Mwanamke akipenda kapenda kweli..!!!?//?? Watutafsiria mashairi ya R.kelly wakati wajua wazi kwamba sio kwelii... sasa mie na Wanaume wenzangu wa ukweli .. nasema hiviii.. usitudanganyeeee...
Jamani, napenda kuuliza, ni familia gani yenye watoto wote ma-genius zaidi ya Familia ya Ma-Ropes? Mwam-War (a.k.a Mama Madawati na misaada), ndiye Genius VODACOM imetokea Kupata...Bunge la...
Mtangazaji matatani kwa dawa za kulevya
na Happiness Katabazi
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, inayomilikiwa na Kampuni ya Bussiness Times Ltd, Hadija Shaibu, maarufu kwa jina la Dida wa Mchops...
Staa kinda katika Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu' amefungua kinywa na kujibu skendo iliyoenea jijini Dar es Salaam kuwa, amehongwa gari na kigogo mmoja ambaye jina halikupatikana...
nilikuwa nauliza kama mnaweza kunitajia majina ya hawa waheshimiwa...kama kutakuwa na taarifa zao za ziada basi ndio mtakuwa mmefanya vyema zaidi
MICHUZI: JK hosts East African Law Society...
...Nilikuwa mfatiliaji mzuri wa hawa vijana wa Original Komedi wakiwa EATV.Kwa kweli nilikuwa sikosi kila kipindi hiki kilipokuwa kikirushwa,baada ya kuamia TBC1 vijana hawa wamekosa...
wanajamvi ,kwa wale wapenzi wa kipindi cha vichekesho cha Futuhi kinachorushwa na star tv,ningependa kujua kama kuna yeyote anayefahamu kuhusu wale waanzilishi wa kipindi hicho! Maana ni wiki...
huyu jamaa yuko simple sana na mziki wake unaeleweka hapa tayari kabeba tuzo 4 za kili mpaka sasa. kuangalia tweeter na fb naona watu wengi hawakubali...why?
Mariah Carey Paints A Butterfly On Her Pregnant Belly
March 28, 2011
Mariah Carey, who is resting at home after experiencing false labor contractions sent her to the hospital on Friday night...
Chururu si ndondondo. Haba na haba ujaza kibaba. Matone Matone ujaza ndoo. Babu Ambilikile Masapila yeye hukusanya sh 500 kutoka kwa kila anayepata kikombe.
Habari za kuaminika makusanyo hayo...
Wengi tulishtushwa na Hizi taarifa Hapo Jana.
Jackie Chan is the victim of a sick, BOGUS death hoax.
A gross prank thats caught fire on Twitter and other social media this morning claims the...