Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

  • Closed
TAMKO RASMI AM VERY HAPPY sababu NIMETHUBUTU kitu ambacho watu wengi wanakihofia na hiyo ni alama na dalili nzuri sana kwangu, siku zote naamini kwamba UTHUBUTU ni ALAMA YA UJASIRI na...
0 Reactions
73 Replies
13K Views
South Africa Winnie Mandela to get her own opera Winnie Madikizela-Mandela, the former wife of Nelson Mandela and South Africa's 'mother of the nation' is to...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
news Brangelina: Hollywood's golden couple Angelina Jolie and Brad Pitt to marry...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Pipi aka Doreen mdogo wangu hii video ulikurupuka saana kuanzia pozi,make ups, mavazi, shooting kuimba yaani kila kitu hakipo mwake. Sema mwamnzo mgumu next time usiwe mbahili tafuta studio ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jukwaa, hivi yule msanii nguri wa kundi la vichekesho la Mizengwe lenye kuonekana ITV yupo wapi maana haonekani siku hizi!! Na ana dili gani?? Anaejua atujulishe wajameni
0 Reactions
23 Replies
11K Views
Wadau kuna taarifa kwamba Ridhwani ametoa Notice ya kuacha kazi IMMA advacates baada ya kusemewa mbovu na Magai, je taarifa hizi ni za kweli? mwenye kujua zaidi atujuze tafadhali
0 Reactions
43 Replies
7K Views
Jamani wanajamii kumekuwa na wimbi la waandishi wa habari hasa wale wa TV na REDIO kuhama kutoka chombo kimoja cha habari kwenda kingine, hii inaashiria nini?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
http://i4.ytimg.com/vi/wKsoXHYICqU/default.jpg
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sioni ubaya wa wananchi wa Tanga kumpa ubunge mganga maarufu wa kienyeji maji marefu. Inaonekana wamechoshwa na mafisadi wasomi ndio maana wameamua kuchagua mganga wa kienyeji awawakilishe...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Flaviana Matata ndani yaBongo Darisalama!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ooppsssssssssssss! Drake Kanye West B.O.B SWIZZ TREY SONGZ CHRIS BROWN LANCE GROSS PHARRELL WILLIAMS MAXWELL KID CUDI TI (aka Clifford Harris)
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Jamani huyu mzee nimesikia tetesi anakuja na tv show yake kuonyesha yote aliyotabiri na yametokea, hivyo atawaproovia watz kuwa yeye ni mwanzo na mwisho wa UTABIRI kupitia TV show yake...kaeni...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
OMG Gadner why? Captain mbona wang'atuka dah ngoja tujue kwanini. Umetustua wengi bro! Kuna nini kinaendelea Pale Redio ya Magholofani...as Sophia Kessy Nae Katangaza kuacha....wamengiliwa na...
0 Reactions
70 Replies
14K Views
Naangalia ze origino comedy TBC1 ila natiwa kichefuchefu na jinsi msanii wa kiume alivyouvaa wasifu wa kike! Amefanikiwa lengo kuwa aonekane mwanamke, tena mrembo! Lakini hii maana yake nini kwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
  • Closed
Habari nilizozisoma toka kwenye gazeti la kiu la wiki iliyopita ni kuwa mwigizaji Tino alizimia wakati akisubiri majibu yake alipokwenda kupima UKIMWI katika kituo cha ANGAZA Magomeni.Taarifa...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wakati mwaka 2010 unaelekea ukingoni, sio mbaya tukawakumbuka baadhi ya ndugu zetu (maarufu) waliotutangulia kwa mwaka huu. RIP. - Mzee Pwagu - Aliyekuwa mwigizaji wa Kundi la Kaole. Nico...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Hapa mkuu anajaribu kushow love kwa wananchi wake...zawadi ya ua si ndogo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Considering Kanye West's checkered past year with MTV, it seems unfit that the opinionated hip-hop genius would top any list complied by the media outlet. But in all honesty, West's crowning as...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za kuaminika nimezipata kua aliyekua mwanamziki wa siku nyingi Bwana Abou semhando amefariki leo asubuhi kwa ajali ya pikipiki. pumzka mahala pema peponi!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…