Jamani wanajamii kumekuwa na wimbi la waandishi wa habari hasa wale wa TV na REDIO kuhama kutoka chombo kimoja cha habari kwenda kingine, hii inaashiria nini?
Ili kujifunza mambo mapya yanayoendana na teknolojia mpya ambayo labda hayapo ktk media house moja, nyingine yapo. kupata nafasi za kusoma,kujiendeleza kwa uhuru, and of course maslahi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.