Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu Baruan Mhuza alikuwa star na kwenda TBC. Ilikuwaje akarudi tena STAR TV???? Na yule Somebody ODHIAMBO aliyekuwa TBC na kutangaza matokeo ya uchaguzi ya kenya yupo wapi siku hizi? Wanajukwaa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani wana JF, naomba mnisaidie kwenye hili, kwani napata kizunguzungu tu. Hivi huu mvutano wa Waziri wa Ardhi na Mipango Miji na Huyu mmiliki wa kiwanja hiki kilichopangwa kiwe cha wazi, nani yu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jay-Z is a business, man -- and now he's got the ride to prove it. Wife Beyonce bought the superstar rapper a Bugatti Veyron Grand Sport, a sports car that cost a cool $2 million, for his 41st...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
najua mmewahi kusikia sehemu ya wimbo maarufu wa Dr Remmy uitwao "Kifo" isemayo ".... kifo ungeonekana ungekuwa tajiri sana..... kifo tungekupa rushwa, kusudi tuishi milele...." je, kwa hapo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna watu wamekuwa wakibeza na kukashifu baadhi ya posts humu kwa kudhani kwamba wao wanaelewa zaidi ya wengine! Hiyo post hapo juu iliwekwa nami, as I got it from one of the media sources,...it...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kazi kwenu, Jolie na John Depp Free File Hosting, Online Storage &amp File Upload with FileServe Free File Hosting, Online Storage &amp File Upload with FileServe Free File Hosting, Online...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau. Uchaguzi wa kumpata man and woman of the year hapa jamvini sio wa haki. Kwa nini wagombea binafsi haturuhusiwi??? Haiwezekani majina yetu yalipendekezwa halafu NEC ya JF mkayakata!!!! Ngoja...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutana na ombaomba Matonya akiwa likizo Friday, 10 December 2010 21:11 Paulo Mawezi(Matonya) Habel Chidawali, Dodoma Ni umbali wa kilomita 48...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Citizen TV today evening at 9.p.m news broadcast enjoyed an envious task of hosting the 52 year young and a mother of four, Nigerian super actress Mama "G" alias Patience...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni kweli diamond amekutana na BritneySpear? Jamani magazeti ya bongo kwa chunvi. Angalia tofauti kati ya picha. kwa nini wasiseme ukweli kwamba alipiga picha na sanamu wala siyo Britney? Ngalia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Uvumi umeenea marekani kuwa yule gwiji wa uwenyeji wa soga za televisheni huenda ni msagaji.........................Uvumi huo unamhusisha mrembo huyo na rafiki yake wa karibu Gayle...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani eeh, nimekuwa najiuliza hata sipati majibu, hivi wasanii maarufu waliowika miaka fulani ya nyuma hapo wako wapi?... kuna Crazy GK, sijamsikia , Misosi, Jumanne Iddi, Lady hanifa, K-Bazil...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Kwa wadau mnaofuatilia muvi za kibongo. Huyu jamaa ni maarufu sana kwenye ulimwengu wa muvi za kibongo anaitwa Rey. Nashangazwa na kitu kimoja tu. Hivi hawezi kuigiza katika hali ya kawaida ya...
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Jamaa nilibahatika kuchukua snap yake pale Sinza hivi siku hizi yu wapi simsikii kabisa kimuziki???
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Picha hii inanikumbusha mbaliii saaaana!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msechu 'kachakachuliwa' Tusker Project? na Andrew Chale KILE kitendawili cha atakayenyakua taji la Tusker Project Fame 2010...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom