Huyu Baruan Mhuza alikuwa star na kwenda TBC. Ilikuwaje akarudi tena STAR TV???? Na yule Somebody ODHIAMBO aliyekuwa TBC na kutangaza matokeo ya uchaguzi ya kenya yupo wapi siku hizi? Wanajukwaa...
Jamani wana JF, naomba mnisaidie kwenye hili, kwani napata kizunguzungu tu. Hivi huu mvutano wa Waziri wa Ardhi na Mipango Miji na Huyu mmiliki wa kiwanja hiki kilichopangwa kiwe cha wazi, nani yu...
Jay-Z is a business, man -- and now he's got the ride to prove it. Wife Beyonce bought the superstar rapper a Bugatti Veyron Grand Sport, a sports car that cost a cool $2 million, for his 41st...
najua mmewahi kusikia sehemu ya wimbo maarufu wa Dr Remmy uitwao "Kifo" isemayo ".... kifo ungeonekana ungekuwa tajiri sana..... kifo tungekupa rushwa, kusudi tuishi milele...."
je, kwa hapo...
Kuna watu wamekuwa wakibeza na kukashifu baadhi ya posts humu kwa kudhani kwamba wao wanaelewa zaidi ya wengine! Hiyo post hapo juu iliwekwa nami, as I got it from one of the media sources,...it...
Wadau. Uchaguzi wa kumpata man and woman of the year hapa jamvini sio wa haki. Kwa nini wagombea binafsi haturuhusiwi??? Haiwezekani majina yetu yalipendekezwa halafu NEC ya JF mkayakata!!!! Ngoja...
Citizen TV today evening at 9.p.m news broadcast enjoyed an envious task of hosting the 52 year young and a mother of four, Nigerian super actress Mama "G" alias Patience...
Ni kweli diamond amekutana na BritneySpear? Jamani magazeti ya bongo kwa chunvi.
Angalia tofauti kati ya picha. kwa nini wasiseme ukweli kwamba alipiga picha na sanamu wala siyo Britney? Ngalia...
Uvumi umeenea marekani kuwa yule gwiji wa uwenyeji wa soga za televisheni huenda ni msagaji.........................Uvumi huo unamhusisha mrembo huyo na rafiki yake wa karibu Gayle...
Jamani eeh, nimekuwa najiuliza hata sipati majibu, hivi wasanii maarufu waliowika miaka fulani ya nyuma hapo wako wapi?... kuna Crazy GK, sijamsikia , Misosi, Jumanne Iddi, Lady hanifa, K-Bazil...
Kwa wadau mnaofuatilia muvi za kibongo.
Huyu jamaa ni maarufu sana kwenye ulimwengu wa muvi za kibongo anaitwa Rey.
Nashangazwa na kitu kimoja tu.
Hivi hawezi kuigiza katika hali ya kawaida ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.