Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Hawaondoki. Ni system ya mwisho wa mwaka ya kuwapigia kura watangazaji wote wa clouds ili wabaki ktk vipindi vyao au wahamishiwe vipindi vingine. Watangazaji wote sa hivi wako lockup.
Kwa maoni yangu Gadner anabore, Jahazi linamfaa sana Arnold Kayanda na Kibonde.
Hawaondoki.Ni system ya mwisho wa mwaka ya kuwapigia kura watangazaji wote wa clouds ili wabaki ktk vipindi vyao au wahamishiwe vipindi vingine. Watangazaji wote sa hivi wako lockup. Kwa maoni yangu Gadner anabore, Jahazi linamfaa sana Arnold Kayanda na Kibonde.
wote hawafai ...redio ifungwe tu iyo
OMG Gadner why? Captain mbona wangatuka dah ngoja tujue kwanini ? umetustua wengi bro?
Kuna nini kinaendelea Pale Redio ya Magholofani...as Sophia Kessy Nae Katangaza kuacha....wamengiliwa na mdudu gani?
Waliahidiwa donge nono kwa kuipigia debe ccm, lakini wameambulia pakavu, wanahisi wametapeliwa
May be . Speculations tuu.Unauhakika unacho kinena?
Unauhakika unacho kinena?