Ili itusaidie nini
nimepata kusikia habari hii, japo sijawahi msikia redioni. Lisemwalo lipoyuko east afrika redio, anatangaza kipindi cha ASUBUHI MIDA YA SAA MBILI HADI SAA NNE HIVI
Ni kweli yupo EA Radio, aliacha kule vichekesho vya Mizengwe. Ni katika kufanya kitu m-badala na kujiwekea malengo katika maisha. unafanya uigizaji lakini inafika mahali unaweka malengo kwamba muda flani ukifika ntaacha na kufanya kitu kingine. Ni kitu kizuriyuko east afrika redio, anatangaza kipindi cha ASUBUHI MIDA YA SAA MBILI HADI SAA NNE HIVI
..........????!!!!!!!!!!!Ili itusaidie nini
Kweli kabisa nimewahi msikia akitangaza kipindi cha asubuhi hapo East Afrika Redio.nimepata kusikia habari hii, japo sijawahi msikia redioni. Lisemwalo lipo
Kweli kabisa nimewahi msikia akitangaza kipindi cha asubuhi hapo East Afrika Redio.nimepata kusikia habari hii, japo sijawahi msikia redioni. Lisemwalo lipo
Ni saa tatu mpaka saa Saba monday to friday yupo na dogo mmoja Michael Baruti (and as far as I can tell they are doing a best job) wanapitia magazeti pia kuna watu wanapiga simu kuelezea dukuduku zao kwenye mitaa yao (wanaita lakuvunda halina ubani)... I think hiki ndio best kipindi cha EA radioyuko east afrika redio, anatangaza kipindi cha ASUBUHI MIDA YA SAA MBILI HADI SAA NNE HIVI
Ni saa tatu mpaka saa Saba monday to friday yupo na dogo mmoja Michael Baruti (and as far as I can tell they are doing a best job) wanapitia magazeti pia kuna watu wanapiga simu kuelezea dukuduku zao kwenye mitaa yao (wanaita lakuvunda halina ubani)... I think hiki ndio best kipindi cha EA radio
Na ktk hiko kipindi anakuwaga serious au kama kawaida yake?
Kuna yule mwigizaji mwenzake anaitwa Mkwere, niliwahi ona anahojiwa akielezea mafanikio yake kuwa amejenga nyumba ya kisasa kutokana na mizengwe.
Wana jukwaa, hivi yule msanii nguri wa kundi la vichekesho la Mizengwe lenye kuonekana ITV yupo wapi maana haonekani siku hizi!! Na ana dili gani?? Anaejua atujulishe wajameni
Wana jukwaa, hivi yule msanii nguri wa kundi la vichekesho la Mizengwe lenye kuonekana ITV yupo wapi maana haonekani siku hizi!! Na ana dili gani?? Anaejua atujulishe wajameni