Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,287
Wadau kuna taarifa kwamba Ridhwani ametoa Notice ya kuacha kazi IMMA advacates baada ya kusemewa mbovu na Magai, je taarifa hizi ni za kweli? mwenye kujua zaidi atujuze tafadhali
Inawezekana pia, anaweka akawa mshauri rasmi wa rais
Kwenye masuala ya kifamilia?
kamulize baba yake? atakuwa na taarifa zaidi
Wadau kuna taarifa kwamba Ridhwani ametoa Notice ya kuacha kazi IMMA advacates baada ya kusemewa mbovu na Magai, je taarifa hizi ni za kweli? mwenye kujua zaidi atujuze tafadhali
Wadau kuna taarifa kwamba Ridhwani ametoa Notice ya kuacha kazi IMMA advacates baada ya kusemewa mbovu na Magai, je taarifa hizi ni za kweli? mwenye kujua zaidi atujuze tafadhali
By the way...who & what is Magai? na alisemewa kitu gani...(mvua njooo katerina njooo)
Ngoja after 2015 kama ataghara kama anavyouza sura now!
IMMA ni:
-Ishengoma (Sasa hivi ni judge wa mahakama kuu-mteule wa JK)
-Magai
-MAsha
Hivyo Magai ni mmoja wa founders wa IMMA
kwenye masuala ya kifamilia?
Magai ni yule jamaa anayefanya maigizo kwenye TVBy the way...who & what is Magai? na alisemewa kitu gani...(mvua njooo katerina njooo)