Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

eti wadau wa muziki wa dance,jose mara namuona kwenye kundi la pamacha watatu,inamaana kwamba jamaa kajitoa fm academia? Au anapiga kotekote!
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Sifael Paul na Musa Mateja NYOTAmwenye heshima tele ndani ya muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jaydee’ amelazwa katika hospitali moja iliyopo jijini Paris, Ufaransa kwa ugonjwa ambao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
sasa hivi wanaonyesha marudio ya bongo starsearch itv.over
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu kwa wale wapenzi wa kuyarudi mangoma hapa Arusha enzi zile za Cave Disco Tech New Safari Hotel miaka ya 1988 -90s alikuwepo huyu DJ alikua anaturusha sana kwa mipangilio ya kuchanganya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
na kwambia hapa haiwezekani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yule mtangazaji nguli na gwiji mahiri katika nyanja ya habari amekula shavu la kuendesha kipindi cha nhc shirika la nyumba na makazi yuko live tbc anaelezea mikakati ya shirika lake katika...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Mastaa wanao-hit hivi sasa SINTA aka J LO wa Bongo na JACK WOLPER aka AMBER ROSE wa Bongo walipimwa ukimwi pale kwa Mama ngoma na haya ndio majibu yao .Hongereni sana kwa ujarisiri wa kupima...
0 Reactions
54 Replies
26K Views
Jamani mwenye CV ya huyu bwana naomba anisaidie kuibandika hapa JF. Nasikia ni Daktari, sijui kasomea wapi na amebobea kwenye tiba ya magonjwa yepi?
0 Reactions
28 Replies
7K Views
vini ni kweli kuwa tanzania yetu hakuna msanii katika tasina yoyote ile aliyofika level ya usuperstar kwa maana ya kutambulika kimataifa na kazi yake kujulikana kimataifa
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari nimetumiwa na tigo punde, chanzo cha kifo chake hakijajulikana.
0 Reactions
64 Replies
12K Views
After little more than two months of marriage, Kim Kardashian is filing for divorce from Kris Humphries. Ryan Seacrest confirmed the news Monday morning on Twitter: TMZ first broke word of a...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Imetokea hata masaa hayajaisha.. Panel Yote imekaa ikimngojea Mganda huyu, sijui alichelewea wapi manake aliyemaliza kuwakilisha alikuwa mjumbe kutoka Botswana, na sasa Mganda akaingia na moja kwa...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Huyu jamaa namkubali sana katika Comedy za kibongo hapa kwenye track ya hussein machozi kafunika ile mbaya. Akaja hapa kwenye video ya Iveta ya msanii Sajna akaipendezesha video na ikatokea...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
for really i do appricate his works keep it up u guy...we do support you jf....nape is role modal of mine..who is yours
0 Reactions
30 Replies
3K Views
wana JF, kesho kuna mechi nzuri sana ambayo sitaki kuikosa amabapo watani wa jadi Tanzania watapambana kugombea point 3 muhimu, wewe kwa mtazamo wako unadhani ni timu ipi itaibuka kidedea na kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The U.S. government may soon own one of Michael Jackson's white gloves, a $530,000 Ferrari and a $30 million Malibu estate if it succeeds in seizing them from the son of a corrupt African...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Marehemu alizaliwa mwaka1961 nakupachikwa jina la utani Changa,marehemu ameachamkenawatoto.wahenga walisemaukistaaajab ya Mussa utayaona ya Firauni na wengine wakasema kushangaa mara moja ya pili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Saed Kubenea, mhariri mkuu na mmiliki wa gazeti pendwa la MwanaHALISI naye ni miongoni mwa waandishi wa habari walionunuliwa na Rostam Aziz, Edward Lowassa na Andrew Chenge kwenye...
1 Reactions
241 Replies
26K Views
Hii imeniacha hoi sanaa, it one of the illest quotes i have heard.. "To the Libyans, I am holiest than the emperor to the Japanese!” and which of his quotes made you crack?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyumbani mama umemuachia bukuuuuuuuu.......... Kishtobe ba umemnunulia kukuuuuuuuuu....... Kurudi kwako ni usikuuuuu........ Naenda kusema kwa mamaaaaaa...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Back
Top Bottom