Sifael Paul na Musa Mateja NYOTAmwenye heshima tele ndani ya muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo Jaydee amelazwa katika hospitali moja iliyopo jijini Paris, Ufaransa kwa ugonjwa ambao...
Wakuu kwa wale wapenzi wa kuyarudi mangoma hapa Arusha enzi zile za Cave Disco Tech New Safari Hotel miaka ya 1988 -90s alikuwepo huyu DJ alikua anaturusha sana kwa mipangilio ya kuchanganya...
Yule mtangazaji nguli na gwiji mahiri katika nyanja ya habari amekula shavu la kuendesha kipindi cha nhc shirika la nyumba na makazi yuko live tbc anaelezea mikakati ya shirika lake katika...
Mastaa wanao-hit hivi sasa
SINTA aka J LO wa Bongo na JACK WOLPER aka AMBER ROSE wa Bongo walipimwa ukimwi pale kwa Mama ngoma na haya ndio majibu yao
.Hongereni sana kwa ujarisiri wa kupima...
vini ni kweli kuwa tanzania yetu hakuna msanii katika tasina yoyote ile aliyofika level ya usuperstar kwa maana ya kutambulika kimataifa
na kazi yake kujulikana kimataifa
After little more than two months of marriage, Kim Kardashian is filing for divorce from Kris Humphries. Ryan Seacrest confirmed the news Monday morning on Twitter:
TMZ first broke word of a...
Imetokea hata masaa hayajaisha.. Panel Yote imekaa ikimngojea Mganda huyu, sijui alichelewea wapi manake aliyemaliza kuwakilisha alikuwa mjumbe kutoka Botswana, na sasa Mganda akaingia na moja kwa...
Huyu jamaa namkubali sana katika Comedy za kibongo hapa kwenye track ya hussein machozi kafunika ile mbaya.
Akaja hapa kwenye video ya Iveta ya msanii Sajna akaipendezesha video na ikatokea...
wana JF, kesho kuna mechi nzuri sana ambayo sitaki kuikosa amabapo watani wa jadi Tanzania watapambana kugombea point 3 muhimu, wewe kwa mtazamo wako unadhani ni timu ipi itaibuka kidedea na kwa...
The U.S. government may soon own one of Michael Jackson's white gloves, a $530,000 Ferrari and a $30 million Malibu estate if it succeeds in seizing them from the son of a corrupt African...
Marehemu alizaliwa mwaka1961 nakupachikwa jina la utani Changa,marehemu ameachamkenawatoto.wahenga walisemaukistaaajab ya Mussa utayaona ya Firauni na wengine wakasema kushangaa mara moja ya pili...
Kuna tetesi kuwa Saed Kubenea, mhariri mkuu na mmiliki wa gazeti pendwa la MwanaHALISI naye ni miongoni mwa waandishi wa habari walionunuliwa na Rostam Aziz, Edward Lowassa na Andrew Chenge kwenye...
Hii imeniacha hoi sanaa, it one of the illest quotes i have heard..
"To the Libyans, I am holiest than the emperor to the Japanese!
and which of his quotes made you crack?
Nyumbani mama umemuachia bukuuuuuuuu..........
Kishtobe ba umemnunulia kukuuuuuuuuu.......
Kurudi kwako ni usikuuuuu........
Naenda kusema kwa mamaaaaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.