Kiukweli shoo ilikuwa poa vijana waliimba km mshindi alistahili kbs,bela km kawa aliboa na wale watu wake sijui kawapata wapi?msechu naye kashalewa misifa mda wote wa perfomance yake kaonyesha chupi!
Msechu..xcul mate huko tabora miaka kadhaa nyuma..handle umaarufu wit great care comrade.
Huyu dogo Msechu hana adabu kbs watabaki kulalamika tu wanaibiwa kazi zao while wenyewe hata adabu hawana pumbafu kabisa!!!!!!