Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wakuu kwa wale wapenzi wa kuyarudi mangoma hapa Arusha enzi zile za Cave Disco Tech New Safari Hotel miaka ya 1988 -90s alikuwepo huyu DJ alikua anaturusha sana kwa mipangilio ya kuchanganya nyimbo pamoja na marememu Dj Mac hope alikua anafahamika kwa jina la Dj Mac kama sikosei sijui yuko wapi siku hizi long time sana.