Nyumbani mama umemuachia bukuuuuuuuu..........
Kishtobe ba umemnunulia kukuuuuuuuuu.......
Kurudi kwako ni usikuuuuu........
Naenda kusema kwa mamaaaaaa.........
Nasemaaaaa........nasemaaaaa..............
Mjinga kweli, badala ya kukaa, ukajifunza ukapata ujuzi wa kuto...za kama dingi wewe unakimbilia kwenda kusema kwa mama! Mama ameshazeeka sasa wewe, tulia noa kisu ule nyama!!! Haya Mpwa umenikumbusha mbali nilipombamba Mdingi enzi hizo na mwanamke mwingine.....tuyaache bhana, wee kaseme tu hata mimi nilisema nikaambulia kunyimwa shilingi kumi ya shule!!!
ameimba Mwita25Hivi ameimba bwana mdogo gani wimbo huo? Umetulia...
huu ndio ubaya wakushinda jamvini muda mrefu..
yaan we acha tuyes! Ni kweli kabisa
Nyumbani mama umemuachia bukuuuuuuuu..........
Kishtobe ba umemnunulia kukuuuuuuuuu.......
Kurudi kwako ni usikuuuuu........
Naenda kusema kwa mamaaaaaa.........
Nasemaaaaa........nasemaaaaa..............
ameimba Mwita25
Natoa Tamko: Sasa andaeni kitanda cha mwita25 huko mirembe haraka.. alikofikia sasa haeleweki.. mara cdm Kibo, keshageuka leo anasaga magamba.. sasa kaja huku kwenye masuala ya kunako nguoni.. haya .. !!