Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Imetokea hata masaa hayajaisha.. Panel Yote imekaa ikimngojea Mganda huyu, sijui alichelewea wapi manake aliyemaliza kuwakilisha alikuwa mjumbe kutoka Botswana, na sasa Mganda akaingia na moja kwa moja akalekea kwenye platform.. Kaulambia wakwetu huyu suti imekaa ikamkaa. sasa katika kuchomeka Ki-flash chake kwenye PC ili aanze kuflows kwenye projector kubwa.. kiflash kikafungunga ila ile file lake likawa halikubali kufunguka.. jamaa akaanza viingereza vingi.. oo nyie hamna html, mimi nimetengeneza presentation yangu kwa kutumia html.. IT wetu wakajitahiditahidi kukifungua ila hakikukubali nadhani killishatafunwa na Virusi. kwa mkwara jama akafungua mkoba wake na kutoa laptop yake, akaagiza achomekewe flaws ili afanye presentation moja-kwa moja kutoka kwenye laptop yake. jamaa wakakonect.. kitu ikafunguka.. sasa jamaa wakati anatafuta file lake nadhani kwa bahati mbaye akabonyeza file jingine.. Ebwanaeee.. aisee.. Full Porn.. Live Ukutani.. aisee wajumbe walistuka sana.. sasa ile jamaa kutahamaki pamoja na virusi vya laptop yake, picha ile ikawa ikiendelea, jamaa la kiafrika na mwanamama wa kizungu, kitu kama sekunde 40 hivi.. jamaa hadi kufanikiwa kukifunga.. jasho limeshammwagika vibaya, suti imeshalowa,.. material yote yamepotea.. Ila jamaa ana moyo wa paka, akaendelea kufungua file lake ukutani, kisha akaomba radhi eti wajukuu zake walikuwa wakichezea laptop yake.. sentensi iliyowafanya wajumbe wavunjike mbavu.. kisha jamaa akaminyia.. afterrall nothing new we are all uses the game.. akaendelea kuwakilisha....