Aibu ya MASIFA

Eng. Y. Bihagaze

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
1,488
908
Imetokea hata masaa hayajaisha.. Panel Yote imekaa ikimngojea Mganda huyu, sijui alichelewea wapi manake aliyemaliza kuwakilisha alikuwa mjumbe kutoka Botswana, na sasa Mganda akaingia na moja kwa moja akalekea kwenye platform.. Kaulambia wakwetu huyu suti imekaa ikamkaa. sasa katika kuchomeka Ki-flash chake kwenye PC ili aanze kuflows kwenye projector kubwa.. kiflash kikafungunga ila ile file lake likawa halikubali kufunguka.. jamaa akaanza viingereza vingi.. oo nyie hamna html, mimi nimetengeneza presentation yangu kwa kutumia html.. IT wetu wakajitahiditahidi kukifungua ila hakikukubali nadhani killishatafunwa na Virusi. kwa mkwara jama akafungua mkoba wake na kutoa laptop yake, akaagiza achomekewe flaws ili afanye presentation moja-kwa moja kutoka kwenye laptop yake. jamaa wakakonect.. kitu ikafunguka.. sasa jamaa wakati anatafuta file lake nadhani kwa bahati mbaye akabonyeza file jingine.. Ebwanaeee.. aisee.. Full Porn.. Live Ukutani.. aisee wajumbe walistuka sana.. sasa ile jamaa kutahamaki pamoja na virusi vya laptop yake, picha ile ikawa ikiendelea, jamaa la kiafrika na mwanamama wa kizungu, kitu kama sekunde 40 hivi.. jamaa hadi kufanikiwa kukifunga.. jasho limeshammwagika vibaya, suti imeshalowa,.. material yote yamepotea.. Ila jamaa ana moyo wa paka, akaendelea kufungua file lake ukutani, kisha akaomba radhi eti wajukuu zake walikuwa wakichezea laptop yake.. sentensi iliyowafanya wajumbe wavunjike mbavu.. kisha jamaa akaminyia.. afterrall nothing new we are all uses the game.. akaendelea kuwakilisha....
 
dah nimecheka kweli, hiyo ilinikuta mimi pia, kuna wazungu waliwai kuja tz kunitembelea, sasa na mimi nilivyoenda kwao kuwatembelea, wakawa wanataka kunionyesha zile picha za bongo, babu wa watu akafungua sijui file gani, aisee nilicheka balaa, yani ilikuwa full miporno halafu mkewe yuko pembeni anamuuliza nini hiyo, kazi ilikuwa kwenye kuifunga,babu alipata noma sana.
 
pole kwa hilo lilokukuta bila kutegemea unajua madingi wengi sana sasa hivi wanashida ya net work hizo picha zinawapa stmulation zaidi ili waweze kuwashugulikia wibibi wetu, mpeni pole sana
 
daaah.....hiyo kiboko......
nimeona aibu utadhani mie.....
 
dah nimecheka kweli, hiyo ilinikuta mimi pia, kuna wazungu waliwai kuja tz kunitembelea, sasa na mimi nilivyoenda kwao kuwatembelea, wakawa wanataka kunionyesha zile picha za bongo, babu wa watu akafungua sijui file gani, aisee nilicheka balaa, yani ilikuwa full miporno halafu mkewe yuko pembeni anamuuliza nini hiyo, kazi ilikuwa kwenye kuifunga,babu alipata noma sana
 
Imetokea hata masaa hayajaisha.. Panel Yote imekaa ikimngojea Mganda huyu, sijui alichelewea wapi manake aliyemaliza kuwakilisha alikuwa mjumbe kutoka Botswana, na sasa Mganda akaingia na moja kwa moja akalekea kwenye platform.. Kaulambia wakwetu huyu suti imekaa ikamkaa. sasa katika kuchomeka Ki-flash chake kwenye PC ili aanze kuflows kwenye projector kubwa.. kiflash kikafungunga ila ile file lake likawa halikubali kufunguka.. jamaa akaanza viingereza vingi.. oo nyie hamna html, mimi nimetengeneza presentation yangu kwa kutumia html.. IT wetu wakajitahiditahidi kukifungua ila hakikukubali nadhani killishatafunwa na Virusi. kwa mkwara jama akafungua mkoba wake na kutoa laptop yake, akaagiza achomekewe flaws ili afanye presentation moja-kwa moja kutoka kwenye laptop yake. jamaa wakakonect.. kitu ikafunguka.. sasa jamaa wakati anatafuta file lake nadhani kwa bahati mbaye akabonyeza file jingine.. Ebwanaeee.. aisee.. Full Porn.. Live Ukutani.. aisee wajumbe walistuka sana.. sasa ile jamaa kutahamaki pamoja na virusi vya laptop yake, picha ile ikawa ikiendelea, jamaa la kiafrika na mwanamama wa kizungu, kitu kama sekunde 40 hivi.. jamaa hadi kufanikiwa kukifunga.. jasho limeshammwagika vibaya, suti imeshalowa,.. material yote yamepotea.. Ila jamaa ana moyo wa paka, akaendelea kufungua file lake ukutani, kisha akaomba radhi eti wajukuu zake walikuwa wakichezea laptop yake.. sentensi iliyowafanya wajumbe wavunjike mbavu.. kisha jamaa akaminyia.. afterrall nothing new we are all uses the game.. akaendelea kuwakilisha....
 
wapi huko??????

habari iko hivyo.. usitake kujua wapi.. tukifunuafunua zaidi haitafaa.. Ila Kuna mibaba mitoa huduma ya maji na vitu vyepesi iliahirisha huduma na kukodolea mimacho kule mbele, aisee.. na baada ya onyesho kufaniiwa kuzimwa niliiona ikiingiza mikono mifukoni na kuondoka.. ikawaachia kinadada wakipiga mzigo kwa dk kama 20 ikarejea.. aisee.. kaz kwel kwel..!! Mganda huyu.. mganda wa watu huyu.. sijui atalalaje leo, atapogundua washiriki wa mataifa mbalimbali alivyowatendea.. na wataendakusimulia nini makwao.. aisee..
 
Aisee nimecheka mwenyewe hadi mbavu zinauma, eti wajukuu walikuwa wanachezea laptonga, mzee mzima hovyoöo.!
 
dah nimecheka kweli, hiyo ilinikuta mimi pia, kuna wazungu waliwai kuja tz kunitembelea, sasa na mimi nilivyoenda kwao kuwatembelea, wakawa wanataka kunionyesha zile picha za bongo, babu wa watu akafungua sijui file gani, aisee nilicheka balaa, yani ilikuwa full miporno halafu mkewe yuko pembeni anamuuliza nini hiyo, kazi ilikuwa kwenye kuifunga,babu alipata noma sana.

Mara Nyingi ikikukuta tafrani kama hii, vidole vyote vinateleza, shift button inakuwa space, pause inakuwa capLock, yaani mchanganyikomchanganyiko hadi aibu ikupate ikukolee..
 
Huyo atakuwa mjinga. Msomi mzima unapoteza muda kuchungulia game za wenzako. Upuuzi mtupu.
 
mkuu ikizu, mbona unadesa kila kitu au hujui kiswahili nini, yaani kila kitu hapo umedesa! Sasa siuache kama hujui?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom