Mwanagandila
Senior Member
- Oct 9, 2011
- 182
- 100
wana JF, kesho kuna mechi nzuri sana ambayo sitaki kuikosa amabapo watani wa jadi Tanzania watapambana kugombea point 3 muhimu, wewe kwa mtazamo wako unadhani ni timu ipi itaibuka kidedea na kwa sababu gani?