Kwanza nipende kumpongeza dogo kwa kukwaa tuzo za kilio lakini pia niwaombe mwenye mapenzi mwema naye wamshauri chochote kupitia ukurasa huu .itansaidia kwa njia moja au nyingine
Asiyekuwepo machoni, na Moyoni hayupo Someone who is not in sight, is not in the heart
ndugu zetu wanaanza kusaulika taritibu katika tasnia ya sanaa Tanzania hasa wa kizazi kipya, inabidi...
MAZISHI YA MANGWEA MAMBO 5 YA KUSHANGAZA
Posted by GLOBAL on June 8, 2013 at 12:30pm
View Blog
Stori:Mwandishi wetu
HUKU Albert Kenneth Mangwea ‘Ngwea' akiwa kaburini siku ya pili leo...
Hizo awards za Kilimanjaro mbona kila siku zinakuwa na malalamiko mengi kuliko shukran, je kunaweza kukawa na uteuzi wa washindi kabla ya tuzo maana hata kwenye list za washindani haziendani kabisa..
Kwa kuwataja na kuwaanika hadharani nafikiri itasaidia,kwani wengi wanafanya siri na kuja kuharibikiwa mbeleni
1.LORD EYEZ
2.DAZ BABA
3.CHID BENZ
4.Q CHIEF
5.TEMBA
6.NATURE
7.BANZA
8.DIOF...
Lady JayDee (@JideJaydee) tweeted at 4:16 PM on Sun, Jun 09, 2013:
Wanadai sina fans, nategemea fans wa MwanaFAtuma, jana walikuwa wapi kumshangilia? #Kujipa moyo kwapunguza stress...
Waungwana wapenzi wa Muziki, hapa nilikuwa katika kujiburudisha kwenye Youtube, kwekweli show nzima ni ya kufa mtu, ila sehemunilyouchoka ni pale ambapo waliweza kutumia technology na kuweka image...
Huyu mdada Betty wa ethiopia na Msieraleone (Bolt) naona wao wameenda kungonoka tu. Video za VIP ukizicheki ni wao wakila mambo flani.....kweli day 3 tayari tundi linaliwa? toka mchezo uanze...
ni yule mkali wa hiphop ya ukweli BONTA A.K.A maarifa,mkali huyu utumia lugha yenye kufikilisha kwenye tungo zake,hakika hana mpinzani kwa sasa..ametoa ngoma mpya inaitwa MATUSI..
Kwa hli bro omba...
Ni ukweli usiofichika kuwa ushindi wa kala jeremiah kunyakua tuzo tatu mfululizo ni faraja sana kwa madam ritha ambaye ndo aliyemuibua rapper huyo anayefanya vyema na ngoma yake ya dear god,ki...
Jamani ebu tumpe sifa zake huyu kijana he deserve!
Kwanza anajituma,anaheshima,hana makundi,ni mkarimu,
Anapigania life yake step by step ili atoke kwa njia salama
Ni handsome,akismile na wewe ni...
Mume wa Malkia wa Mipasho Khadija Kopa ambaye pia ni diwani wa Kata ya Mogomeni Bagamoyo kupitia CCM Jaffar Ali Yusuf amefaiki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Lugalo.
Kwa mujibu...
Leo watanzania watapata kutambua nani ananyakua tuzo gani ya kilimanjaro music award 2013 katika ukumbi wa mlimani city,baadhi ya vipengele vinavyowaniwa ni MSANII BORA WA KIKE ambacho kinawaniwa...
HUDDAH APOKELEWA NA PREZZO >> Jana jioni mrembo Huddah
Manroe aliwasili nchini
Kenya mida ya jioni
akitokea nchini Afrika
Kusini na kama ulikuwa
hufahamu alipokewa katika uwanja wa ndege
na...