Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimekutana na habari huko facebuk kwamba msanii wa maigizo ajulikanaye kwa jina la kashi amefariki dunia,rest in peac
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwanza nipende kumpongeza dogo kwa kukwaa tuzo za kilio lakini pia niwaombe mwenye mapenzi mwema naye wamshauri chochote kupitia ukurasa huu .itansaidia kwa njia moja au nyingine
0 Reactions
17 Replies
2K Views
  • Closed
Hongera Mengi nimeipenda hii toka kwa la azizi wako https://twitter.com/klyinn
0 Reactions
10 Replies
22K Views
“Asiyekuwepo machoni, na Moyoni hayupo – Someone who is not in sight, is not in the heart” ‘ndugu zetu wanaanza kusaulika taritibu katika tasnia ya sanaa Tanzania – hasa wa kizazi kipya, inabidi...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
MAZISHI YA MANGWEA MAMBO 5 YA KUSHANGAZA Posted by GLOBAL on June 8, 2013 at 12:30pm View Blog Stori:Mwandishi wetu HUKU Albert Kenneth Mangwea ‘Ngwea' akiwa kaburini siku ya pili leo...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hizo awards za Kilimanjaro mbona kila siku zinakuwa na malalamiko mengi kuliko shukran, je kunaweza kukawa na uteuzi wa washindi kabla ya tuzo maana hata kwenye list za washindani haziendani kabisa..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kuwataja na kuwaanika hadharani nafikiri itasaidia,kwani wengi wanafanya siri na kuja kuharibikiwa mbeleni 1.LORD EYEZ 2.DAZ BABA 3.CHID BENZ 4.Q CHIEF 5.TEMBA 6.NATURE 7.BANZA 8.DIOF...
0 Reactions
100 Replies
17K Views
  • Closed
Lady JayDee (@JideJaydee) tweeted at 4:16 PM on Sun, Jun 09, 2013: Wanadai sina fans, nategemea fans wa MwanaFAtuma, jana walikuwa wapi kumshangilia? #Kujipa moyo kwapunguza stress...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Waungwana wapenzi wa Muziki, hapa nilikuwa katika kujiburudisha kwenye Youtube, kwekweli show nzima ni ya kufa mtu, ila sehemunilyouchoka ni pale ambapo waliweza kutumia technology na kuweka image...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Huyu mdada Betty wa ethiopia na Msieraleone (Bolt) naona wao wameenda kungonoka tu. Video za VIP ukizicheki ni wao wakila mambo flani.....kweli day 3 tayari tundi linaliwa? toka mchezo uanze...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni yule mkali wa hiphop ya ukweli BONTA A.K.A maarifa,mkali huyu utumia lugha yenye kufikilisha kwenye tungo zake,hakika hana mpinzani kwa sasa..ametoa ngoma mpya inaitwa MATUSI.. Kwa hli bro omba...
0 Reactions
106 Replies
17K Views
Ni ukweli usiofichika kuwa ushindi wa kala jeremiah kunyakua tuzo tatu mfululizo ni faraja sana kwa madam ritha ambaye ndo aliyemuibua rapper huyo anayefanya vyema na ngoma yake ya dear god,ki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani ebu tumpe sifa zake huyu kijana he deserve! Kwanza anajituma,anaheshima,hana makundi,ni mkarimu, Anapigania life yake step by step ili atoke kwa njia salama Ni handsome,akismile na wewe ni...
0 Reactions
58 Replies
9K Views
Mume wa Malkia wa Mipasho Khadija Kopa ambaye pia ni diwani wa Kata ya Mogomeni Bagamoyo kupitia CCM Jaffar Ali Yusuf amefaiki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Lugalo. Kwa mujibu...
0 Reactions
131 Replies
27K Views
Leo watanzania watapata kutambua nani ananyakua tuzo gani ya kilimanjaro music award 2013 katika ukumbi wa mlimani city,baadhi ya vipengele vinavyowaniwa ni MSANII BORA WA KIKE ambacho kinawaniwa...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Huyu Mdada ananichanganya na mapigo yake ya uko kwa Obama.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HUDDAH APOKELEWA NA PREZZO >> Jana jioni mrembo Huddah Manroe aliwasili nchini Kenya mida ya jioni akitokea nchini Afrika Kusini na kama ulikuwa hufahamu alipokewa katika uwanja wa ndege na...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwa sasa yupo njiani akielekea morogoro kwa gari kumzika rafiki yake mangwair. mia
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tulihamasishwa sana kuchangia mpaka ile namba ya tigo ikawa haipokei tena salio kwa kujaa. Naomba kujua mapato na matumizi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…