kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Asiyekuwepo machoni, na Moyoni hayupo Someone who is not in sight, is not in the heart
ndugu zetu wanaanza kusaulika taritibu katika tasnia ya sanaa Tanzania hasa wa kizazi kipya, inabidi tutafute jinzi ya kuwa enzi jamaa zetu
- Mr. Ebbo (Abel Loshilaa Motika), Steve 2K , John Mjema, James Dandu, Steven Kanumba, Mlopelo, John Steven Maganga, Juma Sadick kilowoko (Sajuki), Albert Mangwea, Rose Thomas, Sharo milionea n.k
=
=
=
=
=
=
=
=
=
...wote waliokuwa kioo cha jamii, wanatakiwa kuenziwa katika Music Awards zinazofanyika kila kukicha, kwani wametoa mchango mkubwa kwa taifa letu... na hasa kwenye tasnia ya sanaa ya muziki na sinema...
=
=
=
=
=
=
ndugu zetu wanaanza kusaulika taritibu katika tasnia ya sanaa Tanzania hasa wa kizazi kipya, inabidi tutafute jinzi ya kuwa enzi jamaa zetu
- Mr. Ebbo (Abel Loshilaa Motika), Steve 2K , John Mjema, James Dandu, Steven Kanumba, Mlopelo, John Steven Maganga, Juma Sadick kilowoko (Sajuki), Albert Mangwea, Rose Thomas, Sharo milionea n.k
=
=
=
=
=
=
=
=
=
...wote waliokuwa kioo cha jamii, wanatakiwa kuenziwa katika Music Awards zinazofanyika kila kukicha, kwani wametoa mchango mkubwa kwa taifa letu... na hasa kwenye tasnia ya sanaa ya muziki na sinema...
=
=
=
=
=
=