Windows Update is a Microsoft service for the Windows 9x and Windows NT families of operating system, which automates downloading and installing Microsoft Windows software updates over the Internet. The service delivers software updates for Windows, as well as the various Microsoft antivirus products, including Windows Defender and Microsoft Security Essentials. Since its inception, Microsoft has introduced two extensions of the service: Microsoft Update and Windows Update for Business. The former expands the core service to include other Microsoft products, such as Microsoft Office and Microsoft Expression Studio. The latter is available to business editions of Windows 10 and permits postponing updates or receiving updates only after they have undergone rigorous testing.
As the service has evolved over the years, so has its client software. For a decade, the primary client component of the service was the Windows Update web app that could only be run on Internet Explorer. Starting with Windows Vista, the primary client component became Windows Update Agent, an integral component of the operating system.
The service provides several kinds of updates. Security updates or critical updates mitigate vulnerabilities against security exploits against Microsoft Windows. Cumulative updates are updates that bundle multiple updates, both new and previously released updates. Cumulative updates were introduced with Windows 10 and have been backported to Windows 7 and Windows 8.1.
Microsoft routinely releases updates on the second Tuesday of each month (known as the Patch Tuesday), but can provide them whenever a new update is urgently required to prevent a newly discovered or prevalent exploit. System administrators can configure Windows Update to install critical updates for Microsoft Windows automatically, so long as the computer has an Internet connection.
Wakuu, yani wadada kusikia utabiri wa hali ya hewa kwamba maeneo ya pwani kutakuwa na upepo mkali wa wastani na mawimbi ya bahari kufikia hadi mita 2 ,
Basi wameamua kuvaa nguo fupi alafu nyepesi kwa makusudi alafu unakuta ndani vichupi tu no skin tight, ni mimi tu sijui nawaona huku mjini...
Nipo hapa Johari Rotana kama moja ya wahudhuriaji. Nipo hapa kuwaletea kinachojiri
Ahmed yupo Live kutuambia nini kitakachojiri.
Sundaland anatangazwa kama mzalishaji na msambazaji wa jezi za Simba Sc. Mkataba ni miaka miwili kwa thamani ya bilioni 2 kwa kila mwaka.
SIMBA YAACHANA NA VUNJA...
Fuatilia Mjadala wa Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2023/24, leo Juni 15, 2023 itakayosomwa Bungeni na Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Nchemba.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Mwaka 2022, thamani halisi ya Pato la Taifa kwa bei za mwaka 2015...
Ni mambo mpwito mpwito kwa kwenda mbele....
Ukraine claims to have retaken another southeastern village from Russian forces as its counteroffensive gains momentum.
Soldiers held up the Ukrainian flag in Storozheve in the Donetsk region in unverified video footage posted online and the defence...
Mchezo huu ni wa Nusu Fainali ya pili baina ya timu hizo katika Ligi ya Mabingwa Afrika, unapigwa Nchini Afrika Kusini baada ya awali kumalizika kwa suluhu ya 0-0 Nchini Morocco.
Mchezo umeanza
20' Mamelodi Sundowns wanafanya mashambulizi kadhaa, wageni nao wanajibu lakini bado hakuna umakini...
Baada ya Yanga kutinga fainali sasa ni mechi ya kuangalia nani anaenda kukutana na Yanga kwenye fainali
Mchezo ni saa 4 usiku (EAT)
Vikosi kwa timu zote mbili
Hatimaye Microsoft wamesema windows10 22H2 ndiyo version ya mwisho. Kuanzia Sasa akutakua na Tena na muendelezo wa window 10.
Latest version ya 𝗪𝗶𝗻𝗱𝗼𝘄𝟭𝟬 ndiyo itakua ya mwisho akuna Tena window 10 nyingine itakayotoka au kupata feature mpya ambazo zinakuja na window ndani yake.
October 2022...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Singida Big Stars katika mchezo wa wa ligi ya NBC..
Ikumbukwe katika mchezo wa awali Yanga waliibuka na ushindi wa magoli 4-1
Je nani ataibuka mshindi?
00" Mpira umeanza
03" Mzize anapiga shuti...
Mechi ni saa 1 usiku
Kuna mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha leo na kile cha mwisho kilichocheza kule Morroco
Pamoja na hoja ya kuwapumzisha wachezaji lakini mtu kama Moses Phiri kukosekana hata benchi kunaongeza maswali.
Kibu D naye mechi hii kaikosa.
LIGI KUU: SIMBA YASHIKWA, YAZUIWA...
Hasa hasa nataka kujua ni lini Mwili wake unaingia kutokea huko Jijini Boston nchini Marekani alikokuwa na alikofia.
Na pia kama ukifika nataka kujua je, utapelekwa moja kwa moja Mortuary Lugalo au Kwake Masaki kwa taratibu zingine Kuendelea?
Tafadhali kama utapelekwa Kulala Mortuary ya Lugalo...
Habari. Kwa wenye kujua ni namna gani ya kupata ratiba za matukio kama matamasha, makongamano, na events mbalimbali zinazohusiana na maswala yote ya sanaa na utamaduni, matukio mfano wa mbio za marathon, uchangiaji damu, n.k
Msaada wenu wakuu, kwa wenye kujua njia za kufahamu ratiba za matukio...
Karibuni katika mtanange mwingine wa NBC Premier League kati ya mabingwa watetezi Young Africans SC dhidi ya Kagera Sugar FC katika dimba la Estadio de Azam Complex muda wa saa moja kamili usiku
Kikosi cha Young Africans 👇👇👇
▪️Vikosi vinaingia uwanjani hapa
▪️0' Mpira unaanza
▪️03' Mayele...
Wakati tukisubiria mbugi la kisasi kati ya miamba ya Nigeria na Mabingwa wa kihistoria walioshindikanika hapa Bongo,
Nitakuwa nakuletea on hand updates za timu hizi mbili ili ujue kiwango cha mpira cha kila mmoja
📌1)Dar Young Africans walicheza Jana mechi ya Kombe la Azam na kuibuka na ushindi...
Salam Sana kwenu.
Nianze Kwa kifupi. Nimekuwa na Umri wa 40s na napendelea kula beer wkt wa weekend. Nikiwa bar Moja nilikwaruzana na Mtu mmj si mara moja. Kw kuwa ninamiliki chuma siku Moja nikaandika kwenye karatasi nikiwa ndani ya chumba Changu cha kujisomea nikiwa nimeshika chuma, wanaojua...
Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa
Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi
7' Goooooooooo
Baleke anafunga goli la...
Si huwa mnasema kuwa Simba SC tu pekee ndiyo Walozi ( Wachawi ) kwa Soka la Tanzania?
Na akirejea Tanzania mtatuambia hayo Manyoya ya Sungura na Bundi aliyabeba ya nini kwenda nayo nchini Mali.
Tukutane baada ya Mechi Usiku Ok?
Na kwa jinsi Presha ilivyonipanda kama Simba SC haitoshinda leo au hata ikitoka Sare/Suluhu tu naweza Kulazwa ICU.
Ninaitakia tu Kila la Kheri Simba SC.
Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.