Simba yaachana na Vunja Bei, yasaini mkataba wa Tsh. Bilioni 4

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,238
103,910
Fywot96XsAk4Jly.jpg

FywoxkWXsA8s9m2.jpg
Nipo hapa Johari Rotana kama moja ya wahudhuriaji. Nipo hapa kuwaletea kinachojiri

Ahmed yupo Live kutuambia nini kitakachojiri.
37433fb9f6764736b00b036d526347c6_353990833_2475712862589715_3815907534133549990_n.jpg
Sundaland anatangazwa kama mzalishaji na msambazaji wa jezi za Simba Sc. Mkataba ni miaka miwili kwa thamani ya bilioni 2 kwa kila mwaka.



Snapinsta.app_354588777_250632514265190_825731125046349311_n_1080.jpg
SIMBA YAACHANA NA VUNJA BEI, YASAINI MKATABA WA TSH. BILIONI 4
Simba imesaini mkataba wa miaka miwili wa utengenezaji na usambazaji wa jezi na Kampuni ya Sandaland The Only One, ambapo kwa mwaka mmoja utakuwa na thamani ya Tsh. Bilioni 2

Mdhamini wa jezi wa klabu hiyo aliyepita Vinja Bei alisaini mkataba wa Tsh. Bilioni 1 kwa mwaka

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ amesema “Wanasimba watarajie mambo makubwa ikiwemo katika usajili unaofuata wakati tukishuhudia nyumba ya jirani ikiendelea kuungua.”
 
Back
Top Bottom