OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,238
- 103,910
Ahmed yupo Live kutuambia nini kitakachojiri.
Simba imesaini mkataba wa miaka miwili wa utengenezaji na usambazaji wa jezi na Kampuni ya Sandaland The Only One, ambapo kwa mwaka mmoja utakuwa na thamani ya Tsh. Bilioni 2
Mdhamini wa jezi wa klabu hiyo aliyepita Vinja Bei alisaini mkataba wa Tsh. Bilioni 1 kwa mwaka
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ amesema “Wanasimba watarajie mambo makubwa ikiwemo katika usajili unaofuata wakati tukishuhudia nyumba ya jirani ikiendelea kuungua.”