Windows Update is a Microsoft service for the Windows 9x and Windows NT families of operating system, which automates downloading and installing Microsoft Windows software updates over the Internet. The service delivers software updates for Windows, as well as the various Microsoft antivirus products, including Windows Defender and Microsoft Security Essentials. Since its inception, Microsoft has introduced two extensions of the service: Microsoft Update and Windows Update for Business. The former expands the core service to include other Microsoft products, such as Microsoft Office and Microsoft Expression Studio. The latter is available to business editions of Windows 10 and permits postponing updates or receiving updates only after they have undergone rigorous testing.
As the service has evolved over the years, so has its client software. For a decade, the primary client component of the service was the Windows Update web app that could only be run on Internet Explorer. Starting with Windows Vista, the primary client component became Windows Update Agent, an integral component of the operating system.
The service provides several kinds of updates. Security updates or critical updates mitigate vulnerabilities against security exploits against Microsoft Windows. Cumulative updates are updates that bundle multiple updates, both new and previously released updates. Cumulative updates were introduced with Windows 10 and have been backported to Windows 7 and Windows 8.1.
Microsoft routinely releases updates on the second Tuesday of each month (known as the Patch Tuesday), but can provide them whenever a new update is urgently required to prevent a newly discovered or prevalent exploit. System administrators can configure Windows Update to install critical updates for Microsoft Windows automatically, so long as the computer has an Internet connection.
Maandalizi yote ya tukio letu yamekamilika. Muda mfupi kutoka sasa tukio la wenye nchi tukiiweka nchi mbele litaanza.
Tunakwenda kuzindua jezi za Simba za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tumepata baraka zote kutoka kwa mdhamini mkuu M-Bet."- Semaji la CAF Ahmed Ally.
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
huu uzi ni maalum kwa wale walio omba mafunzo ya kilimo kwa vijana, yatakayofanyika Bihawana Dodoma.
Mpaka dirisha linafungwa vijana 16 elfu walikuwa washatuma maombi
source,
Kituo cha bihawana kina uwezo wa kuchukua vijana 74
source,
mwenye updates...
Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu?
Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.
Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.
UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama...
Kwa heshima zote naomba kila itakapopatikana taarifa ya deni jioya lataifa, tuwe tunapeana taarifa on a step by step basis hadi deni litakapofika Trillion 100.
Pia napendekeza ile siku deni letu linagonga Trillion 100 tuweze kuangalia miradi mbali mbali iliyokamilishwa kwa mikopo iliyosababisha...
FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison
88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona
80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira
Azizi Ki...
Paris Saint-Germain vs Bayern Munich
Inter Milan vs FC Porto
Borussia Dortmund vs Chelsea
Eintracht Frankfurt vs Napoli!
AC Milan vs Tottenham
Liverpool vs Real Madrid
Club Brugge vs Benfica
RB Leipzig vs Manchester City
Naona contro numbers kwa ajili ya kulipia ada ya internship zimeanza kutolewa. Ila ada yenyewe ni kali mno i.e 175,000/=. Waliopata control number na kulipia wameshaanza kuomba vituo. First come first serve! Ukichelewa unakuta kituo ulichokitaka kimeshajaa!! Changamkeni!!
Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.
Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.
Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa...
Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania, kule Angola na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Mnyama mkali anashuka dimbani akiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini.
Anaenda kumaliza ngwe na kuingia hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa wa...
1. Je "uvuli wa mauti ukoje? ie bado marundo yao njiani/barabarani?
2. vizuizi vikoje? ie from one uvuli to another uvuli
3. Ajali vipi?
4. Discipline ya madereva vipi?
........................................................................................
By the way
1. Vikoba vya laki kwa wiki...
Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa...
Maeneo mbalimbali Nchini yanatarajiwa kuwa na Hali ya Baridi, ikielezwa Mkoani Mbeya kiwango cha chini cha joto kinatarajiwa kufikia 10°C, Iringa 11°C, Arusha 14°C, Njombe 06°C na Dar 19°C
Utabiri wa TMA kwa saa 24 zijazo umetoa tahadhari ya vipindi vya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa...
Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na...
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258
Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022
Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.
Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...
Ikiwa imesalia miezi michache kwa kombe la Dunia mwaka 2022 kuanza, leo hii itafanyika Droo ya hatua ya makundi ya michuano hiyo mjini Doha. Droo hiyo itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa...
Naomba kuanza kwa kuweka bei za mazao mbalimbali kwa mkoa wa Iringa kwa mwezi February.
1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg
2. Mahindi Gunia Tsh 70,000
3. Maharage ya njano Tsh2000/kg
4. Vitunguu Tsh 210,000 kwa gunia la debe 8
5. Nyanya kwa tenga Tsh 20,000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.