updates

Windows Update is a Microsoft service for the Windows 9x and Windows NT families of operating system, which automates downloading and installing Microsoft Windows software updates over the Internet. The service delivers software updates for Windows, as well as the various Microsoft antivirus products, including Windows Defender and Microsoft Security Essentials. Since its inception, Microsoft has introduced two extensions of the service: Microsoft Update and Windows Update for Business. The former expands the core service to include other Microsoft products, such as Microsoft Office and Microsoft Expression Studio. The latter is available to business editions of Windows 10 and permits postponing updates or receiving updates only after they have undergone rigorous testing.
As the service has evolved over the years, so has its client software. For a decade, the primary client component of the service was the Windows Update web app that could only be run on Internet Explorer. Starting with Windows Vista, the primary client component became Windows Update Agent, an integral component of the operating system.
The service provides several kinds of updates. Security updates or critical updates mitigate vulnerabilities against security exploits against Microsoft Windows. Cumulative updates are updates that bundle multiple updates, both new and previously released updates. Cumulative updates were introduced with Windows 10 and have been backported to Windows 7 and Windows 8.1.
Microsoft routinely releases updates on the second Tuesday of each month (known as the Patch Tuesday), but can provide them whenever a new update is urgently required to prevent a newly discovered or prevalent exploit. System administrators can configure Windows Update to install critical updates for Microsoft Windows automatically, so long as the computer has an Internet connection.

View More On Wikipedia.org
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

    Maandalizi yote ya tukio letu yamekamilika. Muda mfupi kutoka sasa tukio la wenye nchi tukiiweka nchi mbele litaanza. Tunakwenda kuzindua jezi za Simba za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tumepata baraka zote kutoka kwa mdhamini mkuu M-Bet."- Semaji la CAF Ahmed Ally.
  2. rutajwah

    uzi maalumu wa kupeana updates kwa tulioomba fursa za mafunzo ya kilimo bihawana

    Husika na kichwa cha habari hapo juu, huu uzi ni maalum kwa wale walio omba mafunzo ya kilimo kwa vijana, yatakayofanyika Bihawana Dodoma. Mpaka dirisha linafungwa vijana 16 elfu walikuwa washatuma maombi source, Kituo cha bihawana kina uwezo wa kuchukua vijana 74 source, mwenye updates...
  3. Justine Marack

    Mbona Chama cha Umoja Party kipo kimya?

    Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu? Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani. Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa. UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama...
  4. FRANCIS DA DON

    Countdown: Naomba niwe napewa updates za deni la taifa hadi litakapofika Trillion 100

    Kwa heshima zote naomba kila itakapopatikana taarifa ya deni jioya lataifa, tuwe tunapeana taarifa on a step by step basis hadi deni litakapofika Trillion 100. Pia napendekeza ile siku deni letu linagonga Trillion 100 tuweze kuangalia miradi mbali mbali iliyokamilishwa kwa mikopo iliyosababisha...
  5. Blaszczykowski

    Dnata any updates?

    Habari naomba kuuliza Hawa ndugu zetu Dnata wanachukua mda gani kuita watu kwenye Interview maombi tulituma tokea December 5 Mpaka sasa kimya.
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

    FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza 89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison 88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona 80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira Azizi Ki...
  7. K11

    UEFA Champions League draw hatua ya 16 bora 2022

    Paris Saint-Germain vs Bayern Munich Inter Milan vs FC Porto Borussia Dortmund vs Chelsea Eintracht Frankfurt vs Napoli! AC Milan vs Tottenham Liverpool vs Real Madrid Club Brugge vs Benfica RB Leipzig vs Manchester City
  8. M

    Inernship placings kwa wafamasia 2022/2023. Peaneni updates hapa!!

    Naona contro numbers kwa ajili ya kulipia ada ya internship zimeanza kutolewa. Ila ada yenyewe ni kali mno i.e 175,000/=. Waliopata control number na kulipia wameshaanza kuomba vituo. First come first serve! Ukichelewa unakuta kituo ulichokitaka kimeshajaa!! Changamkeni!!
  9. GENTAMYCINE

    Tafadhali wakazi wa Maeneo haya hebu tupeane 'updates' za Maji kutoka ili angalau Leo tuoge tusinuke

    1. Masaki 2. Kawe 3. Oysterbay 4. Mikocheni 5. Mbezi Beach 6. Mwenge 7. Kijitonyama Nasubiri kwa hamu tu updates zenu.
  10. OKW BOBAN SUNZU

    Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

    Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho. Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022. Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa...
  11. Execute

    FT: Simba 1-0 De Agosto (Agg 4-1) | Simba yatinga hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

    Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania, kule Angola na Afrika Mashariki kwa ujumla. Mnyama mkali anashuka dimbani akiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini. Anaenda kumaliza ngwe na kuingia hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa wa...
  12. R

    Tupeane updates za hali ya barabarani baada ya tamko la Mzee Kinana

    1. Je "uvuli wa mauti ukoje? ie bado marundo yao njiani/barabarani? 2. vizuizi vikoje? ie from one uvuli to another uvuli 3. Ajali vipi? 4. Discipline ya madereva vipi? ........................................................................................ By the way 1. Vikoba vya laki kwa wiki...
  13. OKW BOBAN SUNZU

    FT: Simba Day: Simba 2 - 0 St George Uwanja wa Mkapa/ 08/ 08/ 2022

    Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums. Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa. Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa...
  14. beth

    TMA: Kiwango cha chini cha joto Dar kufikia 19°C

    Maeneo mbalimbali Nchini yanatarajiwa kuwa na Hali ya Baridi, ikielezwa Mkoani Mbeya kiwango cha chini cha joto kinatarajiwa kufikia 10°C, Iringa 11°C, Arusha 14°C, Njombe 06°C na Dar 19°C Utabiri wa TMA kwa saa 24 zijazo umetoa tahadhari ya vipindi vya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa...
  15. figganigga

    Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

    Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo. Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na...
  16. Memento

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

    Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258 Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022 Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita. Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...
  17. Cannabis

    Kombe la Dunia 2022: Droo ya Hatua makundi

    Ikiwa imesalia miezi michache kwa kombe la Dunia mwaka 2022 kuanza, leo hii itafanyika Droo ya hatua ya makundi ya michuano hiyo mjini Doha. Droo hiyo itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa...
  18. Scars

    Mechi ya kirafiki | Yanga 1 - 1 Somalia

    Mechi ni saa 1 usiku
  19. Kamgomoli

    Uzi wa kupeana Updates ya bei za mazao

    Naomba kuanza kwa kuweka bei za mazao mbalimbali kwa mkoa wa Iringa kwa mwezi February. 1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg 2. Mahindi Gunia Tsh 70,000 3. Maharage ya njano Tsh2000/kg 4. Vitunguu Tsh 210,000 kwa gunia la debe 8 5. Nyanya kwa tenga Tsh 20,000.
Back
Top Bottom