Windows Update is a Microsoft service for the Windows 9x and Windows NT families of operating system, which automates downloading and installing Microsoft Windows software updates over the Internet. The service delivers software updates for Windows, as well as the various Microsoft antivirus products, including Windows Defender and Microsoft Security Essentials. Since its inception, Microsoft has introduced two extensions of the service: Microsoft Update and Windows Update for Business. The former expands the core service to include other Microsoft products, such as Microsoft Office and Microsoft Expression Studio. The latter is available to business editions of Windows 10 and permits postponing updates or receiving updates only after they have undergone rigorous testing.
As the service has evolved over the years, so has its client software. For a decade, the primary client component of the service was the Windows Update web app that could only be run on Internet Explorer. Starting with Windows Vista, the primary client component became Windows Update Agent, an integral component of the operating system.
The service provides several kinds of updates. Security updates or critical updates mitigate vulnerabilities against security exploits against Microsoft Windows. Cumulative updates are updates that bundle multiple updates, both new and previously released updates. Cumulative updates were introduced with Windows 10 and have been backported to Windows 7 and Windows 8.1.
Microsoft routinely releases updates on the second Tuesday of each month (known as the Patch Tuesday), but can provide them whenever a new update is urgently required to prevent a newly discovered or prevalent exploit. System administrators can configure Windows Update to install critical updates for Microsoft Windows automatically, so long as the computer has an Internet connection.
Habari Wakuu!
Je wewe ni mdau wa movie na series?
Zilizotafsiriwa ama Zisizotafsiriwa
Basi Tupo Kukuhudumia
Huduma tunatoa online na ofisini kwa bei poa
ZILIZOTAFSIRIWA
Movie moja Tsh.500/=
Kuuploadiwa (special request) Movie moja Tsh.1000/=
Sizoni Kila Episode Tsh.100/= Zikiwa zaidi ya 50...
Ni asubuhi Tulivu yenye mvua kwa maeneo mengi katika Jiji la DSM
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema Freeman Mbowe anazungumza na Taifa muda mchache ujao.
Ni siku ya Kihistoria kwani Feeman Mbowe anazungumza na Taifa kupitia makao makuu mapya ya chama eneo la Mikocheni Jijini DSM.
Ni makao makuu...
SERIKALI YAKATAA KURUDIA UCHAGUZI LICHA YA WAANGALIZI KUDAI KUNA UDANGANYIFU
Kauli ya Serikali inakuja huku kukiwa na shinikizo la Wafuasi na Viongozi wa Upinzani kutaka Uchaguzi huo ufutwe kutokana na madai ya kuwepo kwa ukiukwaji wa Sheria na Uwazi ikiwe baadhi ya Vituo kutopiga Kura.
Ripoti...
Nini kinaendelea Mbeya kuhusu Maandaano? Watu wa Mbeya tuambieni kinachoendelea kama hizi picha ni za kweli
===============
UPDATES...
Hofu na wasiwasi vimetanda kwa wananchi jijini Mbeya kufuatia askari polisi kuzagaa kwa makundi maeneo mbalimbali tofauti na siku nyingine.
Hata hivyo hakuna...
Simu zetu hizi za android zina vitu vingi sana hatuchaguliwi cha kutumia, updates zake nazo sometimes huwa zinakuwa complex kidogo.
Ukiona kuna update kwenye simu yako, dont rush !! Tulia na usome mchezo.
Mfano mwezi uliopita kwa wale wenye google pixel 6 waliokimbilia kufanya updates za...
Wanajf, leo kuna pambano kubwa duniani kati ya Mweusi Ngannou na Mzungu Fury. Ni pambano kubwa na la kusisimua.
Wewe kama mpenzi wa ngumi, ushindi unampa nani?
=====
Muktasari:
Leo Oktoba 28, 2023, Mwanamasumbwi Francis Ngannou maarufu "The Predator" anapanda ulingoni kuzichapa na bingwa wa...
Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti...
Kufikia jana Whatsapp za Tanzania zilianza kupokea updates mpya ya Channels, kwenye sehemu ya chini ya Whatsapp Status. Utakuwa na uwezo wa kupata Habari kupitia Channels utakazoamua kuzifollow
Jinsi ya kupata Update hii mpya hakikisha simu yako inatumia tolea jipya la Whatsapp na kama...
Kombe La Shirikisho la CAF mkondo Wa Kwanza.
Singida Big Stars inayojulikana pia kwa jina la Singida Fountain Gate inarusha Karata yake mbele ya Future FC ya Egypt ikiwa Kiwanja chake cha Nyumbani.
Itavuna nini ni Jambo La Kusubiri. Kila la heri SBS.
Mpira unaendelea..
Mshindi wa Ligi ya mabingwa pamoja na Mshindi wa kombe la shirikisho leo wanakutana kucheza fainali
Mpira ni saa 21:00 yani umeanza dakika tatu zilizopita.
Tutakuwa pamoja hapa kujuzana yatayojiri.
Hapa jana kwenye chakula cha jioni:
Neno "rafiki" lilitumiwa mara 12 kwenye chakula cha jioni kwa heshima Ya Kim Jong-un. Pia kulikuwa na vifungo vya urafiki, hali ya urafiki na hata urafiki wa urafiki. Kwa wengine, nostalgia, na kwa wengine, ukweli.
Viongozi wa wilaya wamefika nyumbani kwa familia ya mwendazake kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya Mh. LISSU kufika hapo.
Familia kwa unyenyekevu mkubwa wameridhia kwa masharti ya kupata baraka za Mkuu wa wilaya ya Chato.
Baada ya viongozi kuwasiliana na Mkuu wa wilaya naye ameridhia tukio...
Wadau mlio karibu na eneo la tukio au mnaopita karibu na eneo hilo, nini kinaendelea muda huu kuhusiana na maandalizi na maendeleo ya mkutano wa Bandari?
Tunaomba mtupe updates za kinachoendelea kabla mkutano huo haujaanza rasimi.
Karibuni.
Uwanja bado ni mweupe ndugu msikilizaji. Tuendelee kusubiri, tuwe na subira
Hapa hapa JF, itakuijia mechi ya kirafiki kati ya Yanga na Kaizer Chiefs mishale ya saa moja usiku.
Hakuna kukimbia
Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari.
Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo.
Jioni ya leo Simba kuandika Historia Tanzania na Duniani.
Tutaendelea kuwaletea matukio zaidi kuelekea...
Mzaramo Abdallah Pazi, maarufu kama Dullah Mbabe alichezea kichapo kutoka kwa bondia wa Congo, Erick Katompa, ilionekana hajakubali hivyo leo anaingia tena ulingoni.
Oktoba 1, 2021 ndani ya viwanja vya PTA pale Sabasaba Dar es Salaam, bondia Erick Katompa alimtwanga bondia kutoka Tanzania...
Leo ni mechi ya mwisho ya PlayOff kati ya Mashujaa na Mbeya City.
Mechi ipo live hapa Mbeya 0-0 Mashujaa. Mbeya City ipo kwenye hatihati ya kushuka daraja baada ya kula kichapo cha 3-1 huko Kigoma.
My Take
Waha njoeni hapa mbishane
Wakuu, yani wadada kusikia utabiri wa hali ya hewa kwamba maeneo ya pwani kutakuwa na upepo mkali wa wastani na mawimbi ya bahari kufikia hadi mita 2 ,
Basi wameamua kuvaa nguo fupi alafu nyepesi kwa makusudi alafu unakuta ndani vichupi tu no skin tight, ni mimi tu sijui nawaona huku mjini...
Nipo hapa Johari Rotana kama moja ya wahudhuriaji. Nipo hapa kuwaletea kinachojiri
Ahmed yupo Live kutuambia nini kitakachojiri.
Sundaland anatangazwa kama mzalishaji na msambazaji wa jezi za Simba Sc. Mkataba ni miaka miwili kwa thamani ya bilioni 2 kwa kila mwaka.
SIMBA YAACHANA NA VUNJA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.