Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Kitila,
Jeshi limeshasema haliwezi kukubali matokeo yoyote ambayo Mugabe hatashinda. Mugabe atashinda kihalali au kwa kuiba.
Cant fault the man
Sasa mimi ndio nimechoka hapo, sasa kwa nini wanafanya uchaguzi kesho in the first place? Kwa nini wanajiangaisha wakati tayari wameshaamua ni Mugabe hadi afe?
Mimi bado naamini kuwa Mugabe atashindwa na kukubali matokeo hapo kesho. Kinyume cha hapo inabidi Kikwete ajiandae kupeleka majeshi yetu zimbabwe "kulinda amani"
BTW itakuwa the same standard na ile iliyotumika kupeleka majeshi Comoro!
Sasa Mugabe akishinda si itakuwa kithibitisho kingine kuwa ndivyo tulivyo au? Maana hata hilo jeshi na lenyewe choka mbaya tu sasa sijui kwa nini wanataka Mugabe ashinde...mijitu mingine bana...aaaaggghhh
Nyani,
watakaompigia Mugabe kura ndivyo walivyo na sio sote.
Huyu bwana to say the least ameharibu ile nchi without
avail.Yaani hata iweje atarudi mamlakani hadi kufa kwake.
There is no need for election in the first place.Na kwa
kuiba mali, anashindana na kina Mobutu na Mugabe...hio picha
hapo juu inaeza kukuhadaa eti jamaa is humble and such!
Wasivyo Walivyo ndio wanatakiwa kuwa wengi na kwa jinsi hali ilivyo Zimbabwe asilimia 100 ya Wazimbabwe wote walitakiwa wasiwe walivyo...hii ina maana hata uteuzi wa chama chake hakustahili kupata lakini jinsi ilivyo mijinga ikampitisha na sina hata chembe ya shaka kwamba atashinda kesho!! Ndivyo Walivyo hadi nione kinyume chake!!!
..Mugabe amesema akishindwa atakubali matokeo. pia amewaasa wapinzani wake wakishindwa wakubali matokeo. sijui kwanini taarifa kama hizo huwa zinafichwa.
..unajua kuna watu walizima bongo zao on the possibility kwamba Mugabe anaweza kushinda. nadhani hilo ndilo tatizo kubwa lililopo.
..baada ya Mugabe kushindwa ktk constitutional referendum ambayo haikuipigia kampeni wako waliofikiri kuwa ndiyo mwisho wake kisiasa. walionywa kwamba Mugabe akiingia vijijini na kutema sera zake basi itakuwa habari nyingine hawakusikia.
..MIMI NAOMBA MUGABE ASHINDWE NA UPINZANI UCHUKUE ZIMBABWE. WANANCHI WANATESEKA BURE KWA KUADHIBIWA NA NCHI ZA MAGHARIBI KWASABABU WAMEMPIGIA KURA MUGABE.
NB:
..Hivi si ilikubalika kwamba Mwai Kibaki ameiba uchaguzi? Sasa kwanini bado yuko madarakani tena kwa mkataba wenye baraka za wakubwa?
..Vipi kuhusu Nigeria? Hivi ule unaweza kuita ni uchaguzi kweli?
Taizo la issue ya Zimbabwe mara nyingi watu huwa hawataki kudususs form both sides of the issue.
Zimbabwe haiongozi Africa kwa HUman rights violations lakini cha ajabu husikii nchi kama Egypt au Eitrea zikilalamikiwa
let alone DRC ambako zaidi ya watu milioni 4 washauwawa
this is where you see the British hypocrisy at its best
One minute Mugabe mbaya next minute wataongeza close relationship na China. Next minute Mugabe ni mbaya jioni wanamkaribisha King Abdulla ambaye Britain and Saudi Arabia wanashared values
JokaKuu:
Kitila katoa taarifa hapo chini kuhusu wanajeshi walivyotamka, na yeye Mugabe alivyosema - sijui kama ndugu yetu amesita kidogo na kujiuliza kama hayo yaliyosemwa ni ya ukweli.