Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,939
- 4,117
Kuwa na mvuto wa watu, hahitaji kuwa na madigere na au PhD ili ukubalike na watu
Ukiniuliza mimi, kwa yale tuliyoyasikia miaka hiyo ya utawala ya JPM hasa kumhusu Makonda, namna vyomba vya habari vilivyokuwa vikimwandama, kumchafua na kubezwa karibu na kila mtu, kwa akili yanfu naliamini kuwa, Makonda atakuwa kachukiwa saana na wananchi na pengine hatakuwa na ushawishi wowote kwenye jamii kwa masuala ya kisiasa
Hakuna jina ambalo hakuwahi kuitwa huyo kijana, alitwa muuwaji, kiongozi wa wasiojulikana na majina yoote mabaya
Kibinafisi niliamini kuwa, huyo jamaa, kwa majina hayo tu, inatosha kuwa kaburi lake na hatoinuka tena na haitawekana kuwa na ushawishi wowote kwa jamii
Tumeona wenye CCM yao, wamempa tena nafasi ambayo ni ya juu zaidi na ambayo inahitaji mtu uwe na ushawishi mkubwa wa kuvuta watu kwenye mikutano hiyo ili kupenyeza ajenda na sera za chama
Kwa ilivyo sasa, mtu huyu, amekuwa na ushawishi mkubwa huku akifuatwa na watu wengi kwenye mikutano yake na ambapo unapoilinganisha na mikutano ya vyama vya upinzani, havifikii kwa ujazo ule
Kwa namna hiyo, mimi najiuliza nakosa majibu, Wapinzani wake hasa Chadema, Wafanye nini ambacho kitakuwa mwarobaini kwa mtu huyu ili asiwe na ushawishi kabisa..!
Karibu kila agenda zinazotupwa kwake kutoka upinzani, ni kama zinamwongezea umarufu zaidi
Ni wakati sasa umefika kwa Chadema, wafanye kila wawezalo ili mikutano ya Paul Makonda isiwe inapata watu kabisa na au wamshitaki mahakamani
Kama hayo mawili hawawezi kuyafanya, basi Chadema inawapasa waanze sasa kampeni zao rasimi na waache kumpa jina kubwa Paul Makonda
Imekuwa kama, kila wakimsema sana huyu Makonda kwa mabaya yake, ndio inakuwa kana kwamba wanamwongezea umaarufu
Mikutano ya Makonda inafurika watu wengi kiasi kwamba, Chadema hawaezi kukusanya watu kiasi hiko kwa sasa!
Chadema acheni kumtangaza makonda, kabilianeni naye kwa hoja, kama huo siyo mwafaka, basi mpelekeni mahakamani ili muondokane na utumwa wa kuraja taja jina lake!
Matusi ruksa!
Ila kumbukeni, Kura yangu siwezi kuwapa masisiemu hata wanitoboe macho!
Ukiniuliza mimi, kwa yale tuliyoyasikia miaka hiyo ya utawala ya JPM hasa kumhusu Makonda, namna vyomba vya habari vilivyokuwa vikimwandama, kumchafua na kubezwa karibu na kila mtu, kwa akili yanfu naliamini kuwa, Makonda atakuwa kachukiwa saana na wananchi na pengine hatakuwa na ushawishi wowote kwenye jamii kwa masuala ya kisiasa
Hakuna jina ambalo hakuwahi kuitwa huyo kijana, alitwa muuwaji, kiongozi wa wasiojulikana na majina yoote mabaya
Kibinafisi niliamini kuwa, huyo jamaa, kwa majina hayo tu, inatosha kuwa kaburi lake na hatoinuka tena na haitawekana kuwa na ushawishi wowote kwa jamii
Tumeona wenye CCM yao, wamempa tena nafasi ambayo ni ya juu zaidi na ambayo inahitaji mtu uwe na ushawishi mkubwa wa kuvuta watu kwenye mikutano hiyo ili kupenyeza ajenda na sera za chama
Kwa ilivyo sasa, mtu huyu, amekuwa na ushawishi mkubwa huku akifuatwa na watu wengi kwenye mikutano yake na ambapo unapoilinganisha na mikutano ya vyama vya upinzani, havifikii kwa ujazo ule
Kwa namna hiyo, mimi najiuliza nakosa majibu, Wapinzani wake hasa Chadema, Wafanye nini ambacho kitakuwa mwarobaini kwa mtu huyu ili asiwe na ushawishi kabisa..!
Karibu kila agenda zinazotupwa kwake kutoka upinzani, ni kama zinamwongezea umarufu zaidi
Ni wakati sasa umefika kwa Chadema, wafanye kila wawezalo ili mikutano ya Paul Makonda isiwe inapata watu kabisa na au wamshitaki mahakamani
Kama hayo mawili hawawezi kuyafanya, basi Chadema inawapasa waanze sasa kampeni zao rasimi na waache kumpa jina kubwa Paul Makonda
Imekuwa kama, kila wakimsema sana huyu Makonda kwa mabaya yake, ndio inakuwa kana kwamba wanamwongezea umaarufu
Mikutano ya Makonda inafurika watu wengi kiasi kwamba, Chadema hawaezi kukusanya watu kiasi hiko kwa sasa!
Chadema acheni kumtangaza makonda, kabilianeni naye kwa hoja, kama huo siyo mwafaka, basi mpelekeni mahakamani ili muondokane na utumwa wa kuraja taja jina lake!
Matusi ruksa!
Ila kumbukeni, Kura yangu siwezi kuwapa masisiemu hata wanitoboe macho!