Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
Baada ya kuongea na wakuu wa ndani wanasema hawajamkamata na wanasema wakimkamata tutafahamu...

Naomba tuifunge hii mpaka itapothibitika kuwa kakamatwa, tena isijekuwa ndo tunawarahisishia kazi...

Invisible, mwanzoni umetuambia unajua hata ISP wake alikuwa anamu watch. Sasa hivi unatuambia umeongea na wakubwa na hawajamkamata. Pata hakika kabla ya ku vet taarifa humu. Habari ikitetewa na jina lako inabeba uzito, wewe ni uso wa jamvi hili. Sasa funga thread hili na wajibika.
 
Baada ya kuongea na wakuu wa ndani wanasema hawajamkamata na wanasema wakimkamata tutafahamu...

Naomba tuifunge hii mpaka itapothibitika kuwa kakamatwa, tena isijekuwa ndo tunawarahisishia kazi...

ahhh wewe iache tuuu wenyewe hawaihitaji JF kuwafanyia wepesi wala ugumu wakitaka kufanya kazi yao wao ni kama kumsukuma mlevi vile

relax and take a back seat...maana kama kufunga utafungia ngapi?
 
Bongo wakikosa sheria wanaweza kukubambika issue chap chap, au hata kuchukua sheria inayofanana fanana na issue yako, kama hiyo ya magazeti inaweza ku apply mpaka kwenye mtandao.

Swali kubwa zaidi ni kwamba, kama servers haziko Tanzania je watakuwa na jurisdiction bila kushirikiana na nchi servers zilipo?

Bluray, we have this wild perception that the internet is such a free-do-what-you-want jungle... the truth of the matter in many cases this is inapplicable. It is a regulated world!! If the dude did whatever ambacho amekifanya on his own private network, then things could be different.

Last weekend nilikuwa namsikiliza yule jamaa Mrusi mwenye Karspesky kwenye Russia Today...daah, interpol ya kwenye internet ni big thing at the moment. As long as one respective government chooses to deal with an individual in another, kama nchi hiyo inaelewana na mle jamaa alikojificha then huyo mtu atatiwa hatiani.

On the other hand, just see the level of foolishness entailing this saga, jamaa hana servers zake nyumbani na si hivyo tu, bali anatumia credit zake pia...
He should have known where to draw limits on the contents posted on that once notorious site of his!

Labda sheria iliyofanikisha kulifungia MwanaHalisi itatumika...dunno!!!!!
 
Mwanzoni umetuambia unajua hata ISP wake alikuwa anamu watch. Sasa hivi unatuambia umeongea na wakubwa na hawajamkamata. Pata hakika kabla ya ku vet taarifa humu. Habari ikiwa na jina lako inabeba uzito, wewe ni uso wa jamvi hili. Sasa funga thread hili na wajibika.

UM, hujui tunajua nini... Simply acha tu.

GT & NN, nakaa kando na hii mada.
 
Nyepese zinasema jamaa wako au walikuwepo nyumbani kwao

lakini mbona walishakwenda nyumbani kwa DEDI yake zamani na mzee wa watu aiomba radhi on behalf of mwanae?

labda kwa lingine lakini kama ni raia wa nje then hapo ngoma nzito na sidhani its the attention that we need at the moment

ipo namna ya kudeal naye na si hii ya kudeal naye kiserikali serikali...mfano tunaweza kuoutsource hizi kazi na serikali ikabaki clean kabisa

waache kuharibu resources na huu upuuzi
 
Malipo ya server alikuwa anafanya kwa credit card yake ya ukweli! Kaazi kwelikweli...

NN, mi sitaki kuongea zaidi... The guy wasn't smart to the extent I expected him to be. Pamoja na kuwa ni mtaalam wa IT lakini alipuuza wengi waliomwambia amechemsha kwa blogging style yake.

Anyway, najua akipata wakili mzuri anashinda kesi (endapo watamfungulia kesi). Ninachojua wataongea na 'mzee wao' amkanye kijana wake ili asichafue jina la familia yao 'kubwa'

Invisible acha uoga, say his name, mi nashangaa unahimiza watu na slogan ya JF where we dare to talk openly, mtaje mwanaizaya huyo.
 
Bluray, we have this wild perception that the internet is such a free-do-what-you-want jungle... the truth of the matter in many cases this is inapplicable. It is a regulated world!! If the dude did whatever ambacho amekifanya on his own private network, then things could be different.

Last weekend nilikuwa namsikiliza yule jamaa Mrusi mwenye Karspesky kwenye Russia Today...daah, interpol ya kwenye internet ni big thing at the moment. As long as one respective government chooses to deal with an individual in another, kama nchi hiyo inaelewana na mle jamaa alikojificha then huyo mtu atatiwa hatiani.

On the other hand, just see the level of foolishness entailing this saga, jamaa hana servers zake nyumbani na si hivyo tu, bali anatumia credit zake pia...
He should have known where to draw limits on the contents posted on that once notorious site of his!

Labda sheria iliyofanikisha kulifungia MwanaHalisi itatumika...dunno!!!!!



the issue here is burden of proof na hiyo itaangukia serikali na in the wake of Benjamin Bengi the last thing we want here is unwanted publicity ohhh raia wa UK kakamtwa na repressive regime ya Tanzania and so on

and another thing hili itabidi liende Mahakamani nako huko sisi nadhani unajua hatukuwezi...


muhimu ni kumtumia salaama kama Kubenea alivyokuwa akipelekewa salaam bila kuleta attention. Na kama hasikii basi atembelewe kama jamaa yetu alivyotembelewa then tutalala usingizi mnono

btw

hivi ni kweli KOLO TOURE anaondoka?
 
... nakaa kando na hii mada.

Ni vizuri umeelewa kwamba taarifa ikibebwa na jina lako inachukua uzito wa jamvi zima. Umewajibika kwa kukaa kwanza pembeni, ni vema.

Tungoje ukweli na udaku ujitenge, sidhani kama huyu Utamu ni jinga la kutumia credit card yenye jina lake kuposti picha za caricuture za matusi za rais Kikwete .
 
Invisible, rudisha basi ile alama ya swali iliyokuwepo awali kwenye kichwa cha habari....niliiweka kwa makusudi
 
Akitiwa ndani huyo Zeusweet atafanyiziwa kama Liyumba lazima. Muungwana ana visasi si mchezo.
 
Invisible acha uoga, say his name, mi nashangaa unahimiza watu na slogan ya JF where we dare to talk openly, mtaje mwanaizaya huyo.
Killuminati,

Naamini katika kulinda privacy ya mtu mtandaoni. Pamoja na makosa yake, pamoja na kuongea naye na kumshawishi abadili blogging style yake na kunikatalia, sintomtaja mpaka pale atapotajwa rasmi na wanaomfatilia.

Bado naamini kuwa anastahili kuonywa tu na kuachiwa kwani hata njia waliyoitumia kuuweka chini mtandao wake si ya kiungwana na akipata mawakili wazuri wanaweza kuigeuzia kibao serikali ya Tanzania kwa kitendo ilichokifanya.
 
Ni vizuri umeelewa kwamba taarifa ikibebwa na jina lako inachukua uzito wa jamvi zima. Umewajibika kwa kukaa kwanza pembeni, ni vema.

Tungoje ukweli na udaku ujitenge, sidhani kama huyu Utamu ni jinga la kutumia credit card yenye jina lake kuposti picha za caricuture za matusi za rais Kikwete .
hapa tuko pamoja mkuu,throughout posting zake and the manhunt he was threatened with i doubt kama angekuwa mzembemzembe
 
duh...naona hii thread ni ya wajuaji tu....everything is said in half sentences....kwa heri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom