Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,298
Naona mnataka kuanzisha thread yenu..Sasa ni hivi ..unajua JF is where we dare to talk openly..Hebu tufafanulie hapa ulikuwa na maana gani?
Nikifanya hivyo nitatakiwa kuanzisha thread yetu.
Naona mnataka kuanzisha thread yenu..Sasa ni hivi ..unajua JF is where we dare to talk openly..Hebu tufafanulie hapa ulikuwa na maana gani?
Nikifanya hivyo nitatakiwa kuanzisha thread yetu.
Sasa mbona ulishaanzisha mazee?
hehehe Komredi NN naona leo umewashiiiiiiiiiiiiika
Kuna watu walikuwa wanasali ili hii habari isiwe ya ukweli wapate sababu ya kuua credibility yangu. Walichoshindwa ku realize ni kwamba NN huwa havunji habari hovyo hovyo.
...on that note mazee utakuwa unanipa powers over you!
View attachment 4917
View attachment 4918
Hivi ni macho yangu au laaah?
Mbona hawa wawili wanafanana?
NYANI NGABU tufafanulie!!!
Invisible,
Ningekuwa na pesa ningefanya party ya kusheherekea kukamatwa kwake, na ningeutangazia umma kwamba nasherehekea FISADI huyu kukamatwa!
./Mwana wa Haki
Duh..basi bana ngoja nikakate laga na nyama choma nipate stimu za kuanzia weekend, naona humu ngonjera nyiiiingi na kurefusha mineno..
...ha ha ha bora ufanye hivyo... btw Mazee, kuhusu nyama choma umeshaambiwa na mkulu X-paster kuwa zina tegu, si ulishaona video zake pale zinapomwakiwa soda?!
inamaana hapa TZ kosa ni mpaka umguse presidaa au kiongozi yeyote mkuu, kwanini hawakumtrace wakati ule raia wakawaida wanadhalilishwa, na complain zilikuwepo zaidi ya 6000 hivi.
Kuna wakati nilishaambiwa raisi wetu ni anayestahili heshima zaidi ya watu wengine. Mimi nikaitafsiri hiyo hoja kuwa ukiwa raisi basi thamani yako ya ubinadamu inakuwa zaidi ya mtu wa kawaida kama mkulima au muuza genge. Logic ya mtu aliyesoma hiyo....
Warioba alisema rais is more than a person, ni symbol ya taifa kama bendera na currency.Kwa hiyo wanaweza ku invoke some bureaucratic statism kama hiyo kujustify hii kama attack on the reputation of a nation, not merely the person of the president.
Si unajua muendesha mashitaka akitaka sifa kosa moja linanyumbulishwa kuwa na mashtaka 60.
Tegu ndo nini mazee?
Tegu ndo nini mazee?