raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 9,201
- 26,729
Hivi elimu ikiwa inatolewa tu mtu anaenda mpaka chuo kikuu kuna ttz gani kwenye ajira sasa ndio kunaangaliwa utendaji kazi wa mtu kama anaweza au la
ohooooooooHawa waislamu kuhusu elimu munawalazimisha tu! Hawapendi elimu! Wao wanasema "elimu dunia" sio muhimu! Wanasisitiza elimu aela! Ndio maana kundi la kigaidi halipendi angalau kwa uchache mtoto wa kike kwenda shule! Alafu hawa jamaa_vikofia kwa kulalamika wakitaka nyazifa za juu huku elimu hawana!
Hilo lina uhusiano gani na Uzi, kwanini unaingiza waislamu wote kwenye uzi usio wahusu, ......hivi unajua waislamu Tanzania bara ni wengi zaidi ya mara 10, kwa waislamu walioko zazobar?........Hawa waislamu kuhusu elimu munawalazimisha tu! Hawapendi elimu! Wao wanasema "elimu dunia" sio muhimu! Wanasisitiza elimu aela! Ndio maana kundi la kigaidi halipendi angalau kwa uchache mtoto wa kike kwenda shule! Alafu hawa jamaa_vikofia kwa kulalamika wakitaka nyazifa za juu huku elimu hawana!
Hilo lina uhusiano gani na Uzi, kwanini unaingiza waislamu wote kwenye uzi usio wahusu, ......hivi unajua waislamu Tanzania bara ni wengi mara 10, kwa waislamu walioko zazobar?........
"Serikali itaondoa mitihani ya Taifa ya darasa la nne na mitihani ya kidato cha pili, Serikali imeamua kufuta hii mitihani, kwanza sio kwamba inamfanya Mwanafunzi ahitimu au inamfanya Mwanafunzi asiendelee kusoma lengo la mitihani ni kumpima kafaulu au hakufaulu, tutaandaa utaratibu mwingine mzuri”
Hapa umechanya vitu viwili ambavyo ni kimoja Tanzania na Zanzibar.. Japo ungesema Tanganyika na ZanzibarNa sisi Tanzania tufute tunasubiria nini?
---
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Mussa leo October 18,2023 ametangaza baadhi ya mabadiliko na mageuzi ya elimu ikiwemo sera na sheria mpya ambazo zitatarajiwa kuendana na mabadiliko hayo kwa Zanzibar yanayotarajiwa kuanza kwa Wanafunzi waliopo madarasa ya chini kuanzia darasa la kwanza, mabadiliko hayo ni pamoja na kufuta mitihani ya darasa la nne na kidato cha pili.
"Serikali itaondoa mitihani ya Taifa ya darasa la nne na mitihani ya kidato cha pili, Serikali imeamua kufuta hii mitihani, kwanza sio kwamba inamfanya Mwanafunzi ahitimu au inamfanya Mwanafunzi asiendelee kusoma lengo la mitihani ni kumpima kafaulu au hakufaulu, tutaandaa utaratibu mwingine mzuri”
Point yako nini?Waangalie kilicho bora kwao, mimi nadhani kwa udogo wao wa kijiografia, idadi ya watu na harakati zao za kiuchumi wala hawahitaji wasomi wengi ki vile watasababisha tatizo la ajira bure! watafika tu, hata sisi wenyewe pamoja na makelele yote haya hatujafika mbali!... eti nchi ya watu milioni 65 tunajilinganisha na Zanzibar kielimu badala ya KENYA au UGANDA, GHANA SOUTH AFRICA etc. Utamsikia msomi 'shule za Zanzibar ni za mwisho kimatokeo sisi tunafanya vizuri' what a shame!
Zanzibar kitambo tu hakuna darasa la saba Bali form 2 ndio ilikuwa kama la 7, ila hilo la mafunzo ya amali ndio jipya.Hii mbona ilishatangazwa na waziri wa Elimu Wa JMT alisema pia Kwa sasa Shule za Msingi watasoma mpaka Darasa la sita na Kuingia moja kwa moja Form one.
Pia alisema kuwa kutakuwa na mafunzo ya amali kama muziki na elimu ya kazi secondary na hakuna haja ya mtu kusma ma Physics wala ma Chemistry wala ma history.
Kama huu mtaala utafanikiwa nitakuwa wa kwanza kuipongeza Serikali ya CCM rasmi
Mifumo ya kuchujana imepitwa na wakati ni muda sasa wakutazama competence ya mtu katika fani husika.Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu kuanzia sasa hivi. Watakuwa na mpango wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu. Katika mipango hiyo kuna mitihani ya Taifa ambayo itafutwa kabisa. Hawaoni sababu ya kuwepo kwa mfumo wao mpya wa elimu.
Jinsi nilivyolisikiliza tamko hili (video chini) la awali, inaonesha kama ni mipango mizuri. Watakuwa na mafunzo ya amali kuanzia mapema, yaani wanafunzi watafundishwa fani mbali mbali za kazi wakati wanaendelea na masomo yao mengine, na si kama ilivyo sasa kwa Zanzibar, kuwa mwanafunzi mpaka amalize kwanza form four ndiyo aweze kwenda vyuo vya kazi. Jisikilizie ufafanuzi zaidi:
Duh! Sasa kumbe umuhimu wa majaribio kwa mwanafunzi umesahaulika. Mi naona wangekuwa wanaishia la 6 halafu elimu kwa vitendo. Kuondoa hadi Mitihani?Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu kuanzia sasa hivi. Watakuwa na mpango wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu. Katika mipango hiyo kuna mitihani ya Taifa ambayo itafutwa kabisa. Hawaoni sababu ya kuwepo kwa mfumo wao mpya wa elimu.
Jinsi nilivyolisikiliza tamko hili (video chini) la awali, inaonesha kama ni mipango mizuri. Watakuwa na mafunzo ya amali kuanzia mapema, yaani wanafunzi watafundishwa fani mbali mbali za kazi wakati wanaendelea na masomo yao mengine, na si kama ilivyo sasa kwa Zanzibar, kuwa mwanafunzi mpaka amalize kwanza form four ndiyo aweze kwenda vyuo vya kazi. Jisikilizie ufafanuzi zaidi:
We wajua me natokea wapi mpaka wataka kunidanganya hivi 😅😅 unajua me nimesoma wapi 😅😅😅😀 acha hizo bhnaZanzibar kitambo tu hakuna darasa la saba Bali form 2 ndio ilikuwa kama la 7, ila hilo la mafunzo ya amali ndio jipya.
Elimu ya msingi na Sekondari sio ishu ya muungano!Hii mbona ilishatangazwa na waziri wa Elimu Wa JMT alisema pia Kwa sasa Shule za Msingi watasoma mpaka Darasa la sita na Kuingia moja kwa moja Form one.
Pia alisema kuwa kutakuwa na mafunzo ya amali kama muziki na elimu ya kazi secondary na hakuna haja ya mtu kusma ma Physics wala ma Chemistry wala ma history.
Kama huu mtaala utafanikiwa nitakuwa wa kwanza kuipongeza Serikali ya CCM rasmi
Mitihani ni utumwa mwanafunzi anakuwa hasomi kwa ajili ya kuelewa ila kwa ajili ya kufanya mtihani tumetengeneza taifa lenye Madaraja Makubwa ya kitaaluma yasiyo na tija kwa muda mrefu...Duh! Sasa kumbe umuhimu wa majaribio kwa mwanafunzi umesahaulika. Mi naona wangekuwa wanaishia la 6 halafu elimu kwa vitendo. Kuondoa hadi Mitihani?
Ilianza ya JMT muda na hata mitaala iko ikitengenezwa kule ndo wameanza mchakatoHiyo ya JMT sijaiona.
Kwenye hili la mafunzo ya amali, Zanzibar wametutangulia, au wametuzidi!. Huku Tanzania bara mafunzo ya amali ni kwa vilaza tuu, yaani failures!. VETA ilikuwa ni kwa waliofeli!.Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu kuanzia sasa hivi. Watakuwa na mpango wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu. Katika mipango hiyo kuna mitihani ya Taifa ambayo itafutwa kabisa. Hawaoni sababu ya kuwepo kwa mfumo wao mpya wa elimu.
Jinsi nilivyolisikiliza tamko hili (video chini) la awali, inaonesha kama ni mipango mizuri. Watakuwa na mafunzo ya amali kuanzia mapema, yaani wanafunzi watafundishwa fani mbali mbali za kazi wakati wanaendelea na masomo yao mengine, na si kama ilivyo sasa kwa Zanzibar, kuwa mwanafunzi mpaka amalize kwanza form four ndiyo aweze kwenda vyuo vya kazi. Jisikilizie ufafanuzi zaidi:
Hakuna sehemu nilipozungumiza Swala la Muungano!Elimu ya msingi na Sekondari sio ishu ya muungano!