Embakassy aka Akadodi Ndauli?Embakassy,sabena,nyatco
Siri yako
Ova
mtemiwaWandamba! Hawijeee!!! Hawijeee!! Kaimuka Bamboo!! Ha ha ha! Long time kitambo!Sharuks : Abbas Gulamali Mhindi wa Ifakara .
Dar Oyee : Gulam Somji Mhindi wa Mahenge.
Halafu kulikuwa na Ulanga Express , mali ya Ushirika wa vijiji vya Tarafa ya Malinyi.
Baadae alihamia Singea - Dar akakutana na akina Okalla, Rwambi na Yoge wakivurumisha Kiswele, John Africa na Mapunda wakiwa na Special coach na yeye Giriki akiwa na Tawaqal.Giriki alikuwa akikaa kwny seat na kushika usukani wamama wanasali sana, wengine wakiulizana ni Giriki anatupeleka?
Mimi najua alikuwa anaendesha Dar - Mbeya
Mabasi yaliyosafiri asubuhi ni Railway na KAMATA!Basi nyingi zilikuwa zinasafiri usiku na kufika Asubuhi sana. Na kwakuwa kulikuwa hakuna mobile phone kama sana yaani mnaamka asubuhi mnakuta wageni hao na mabegi, kuku, viazi nk na mnafurahi tu kwa pamoja bila kujali ujio wao ulikuwa na taarifa au laa.
Then wageni wakitulia kidogo mnakaa kupeana taarifa za Fulani na Fulani. Yaani mawasiliano ya sasa ya simu yamerahisisha sana taarifa lakini yametoa ladha ya surprise na kumisiana
Niliwahi kupanda Sharuks nikitokea Ifakara kule kwenye kituo cha utafiti wa kilimo paliitwa Katrin!Sharuks : Abbas Gulamali Mhindi wa Ifakara .
Dar Oyee : Gulam Somji Mhindi wa Mahenge.
Halafu kulikuwa na Ulanga Express , mali ya Ushirika wa vijiji vya Tarafa ya Malinyi.
Nakayimuka Bambo. aisee wewe utakuwa tunafahamiana ngoja nije chumba cha pili huko.mtemiwaWandamba! Hawijeee!!! Hawijeee!! Kaimuka Bamboo!! Ha ha ha! Long time kitambo!
Nimeishi kwa miaka mingi sana huko Kilombero miaka ile ya 90's mpaka mwanzoni mwa 2000!! Nimeishi Nyandeo, Mang'ula, Ifakara, Mahenge, Namwawala, Chita,nk.
Yes , hicho kilikuwa kule upande wa pili wa Ifakara Tazara station na jirani Air strip( Uwanja wa Ndege ndogo).Niliwahi kupanda Sharuks nikitokea Ifakara kule kwenye kituo cha utafiti wa kilimo paliitwa Katrin!
DuhEmbakassy aka Akadodi Ndauli?
Nyatci kwa sasa ni mchungaji huko Mwanza!
Hahahaaaa...... Long time bwashee!Duh
Ova
Alishaendesha pia kampuni ya mabasi ya safina syo ...dar - mbyNiliwahi kupanda Sharuks nikitokea Ifakara kule kwenye kituo cha utafiti wa kilimo paliitwa Katrin!
Ah mm dar nishakuwa konda kwenye coasterHahahaaaa...... Long time bwashee!
Ila umenikumbusha ile Chai maharage ya Rpc Tryphon iliyokuwa inapiga route ya Masaki - Posta!
RPC Tryphon Maji?Hahahaaaa...... Long time bwashee!
Ila umenikumbusha ile Chai maharage ya Rpc Tryphon iliyokuwa inapiga route ya Masaki - Posta!
Dah masaki enzi hizo njia vumbiHahahaaaa...... Long time bwashee!
Ila umenikumbusha ile Chai maharage ya Rpc Tryphon iliyokuwa inapiga route ya Masaki - Posta!
Nissan Diesel UD nazo zilitikisa sana bwashee.Alishaendesha pia kampuni ya mabasi ya safina syo ...dar - mby
Ila enzi zile Nissan diesel zilikuwa znatembea sana,alafu ile stop engen zake ahh ni balaa
Ova
Haikua kitonga,zilikua zile kona za kwenda songea,alikua anatoa fuse ya taa za break,kama amekutangulia kwenye kona anakanyaga break kwa kua fuse katoa huoni,unakuja moto mara kona hii hapa unaanza kuhangaika nayoHuyu Giriki nasikia alikuwa anatabia ya kuwaingiza wenzake chaka hasa wanaposhuka mlima Kitonga,yani akishuka anamzuga wa nyuma yake kwa taa ili aone mlima mdogo mwisho wa siku wanyuma yake anashindwa kukontro gari anapata ajali'hii ni kweli au uzushi tu?
Ila biashara ya mabasi kichaaNissan Diesel UD nazo zilitikisa sana bwashee.
Makete Bus walitoa mbili Dsm - Njombe zilikuwa moto chini na mzee Kiwanga wa Makambako alitoa mbili zikiitwa Ilanga Moto!
Konoike/kajima walikuwa na Nissan UDNissan Diesel UD nazo zilitikisa sana bwashee.
Makete Bus walitoa mbili Dsm - Njombe zilikuwa moto chini na mzee Kiwanga wa Makambako alitoa mbili zikiitwa Ilanga Moto!
Si unajua awali mabaharia walikuwa wakishuka lazima wawavue wazee nyumba za national housing laki laki baadae wakaanza kununua coaster.Ah mm dar nishakuwa konda kwenye coaster
Za Italy trans na kuna coaster ya baharia mmoja ilikuwa ina chata time will tell
Wamilik wote hao walikuwa wajanjajanja wa zamani,na ili kuwa kufanya kazi na watu kama hao na wakukubali lazima uwe mjanja
Ova