johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,724
- 141,585
Daah we jamaa umenifanya nimekumbuka mbali sana, enzi za akina Scandinavia, Ruvuma line, Tawaqal, Zainabu bus, safari ilikuwa fupi sana enzi hizo pamoja na kwamba muda wa kupanda na kushuka kitonga ulikuwa unakaribiana kutokana na hali upana wa barabara Kuwa mdogo johnthebaptistMara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa " Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji
Anaendesha semiBujibuji kuja huku
Mungu ambariki bwashee!Anaendesha semi
Yule bwana alinitoa Mbeya saa 2 asbuhi na kunifikisha Dar saa 10 jioni, nilishilikia siti mwanzo hadi mwishoMara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa " Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji
Hahahaaaa.......Giriki alikuwa siyo mchezo bwashee!Yule bwana alinitoa mbeya saa 2 asbuhi na kunifikisha dar saa 10 jioni, nilishilikia siti mwanzo hadi mwisho
Picha ngoja nimuombe mshana jr maana kwa zile mbinu zake lazima anazo!Picha ya Giriki ikwapi?
Safina umesahauDaah we jamaa umenifanya nimekumbuka mbali sana, enzi za akina Scandinavia, Ruvuma line, Tawaqal, Zainabu bus, safari ilikuwa fupi sana enzi hizo pamoja na kwamba muda wa kupanda na kushuka kitonga ulikuwa unakaribiana kutokana na hali upana wa barabara Kuwa mdogo@johnthebaptist
Ukiachana na enzi za akina kiswele
Huyu Giriki nasikia alikuwa anatabia ya kuwaingiza wenzake chaka hasa wanaposhuka mlima Kitonga, yaani akishuka anamzuga wa nyuma yake kwa taa ili aone mlima mdogo mwisho wa siku wanyuma yake anashindwa kukontro gari anapata ajali' hii ni kweli au uzushi tu?Picha ngoja nimuombe mshana jr maana kwa zile mbinu zake lazima anazo!
Hivi mabasi ya Scandinavia yalifia wapi?Safina umesahau
Ndio huyo kaendesha Tawaqal za Tunduma, Songea na Lilongwe Malawi!Hivi ni huyu aliyekuwa dereva maarufu njia ya Songea?
Kama ni huyu naskia alipigwa marufuku kuendesha mabasi baada ya kusababisha ajali ( sio gari alilokuwa akiendesha)
Kampuni ilifirisika baada ya wanasiasa kuingiza mabasi yao!Hivi mabasi ya Scandinavia yalifia wapi?
Safina zile za Mahenge kwa Giriki zilikuwa cha mtoto!Safina umesahau
Ahsante mkuu!Mwaka jana(2020),alikuwa na semi akuelekea Zambia.