FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,082
- 40,734
Dereva wa basi hili namba T331 BMM jana tarehe 04/08/2023 wakati tunaelekea Dodoma alinifanyia overtaking mbaya sana na kidogo anisababishie ajali.
Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.
Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.
Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!
Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.
Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.
Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!
Kani-overtake bila tahadhari ya kutosha ambapo kulikuwa na Semi-trailer inakuja kwa kasi kwenye njia yake ya kurudi Dar, hamadi Uso kwa Uso anakuta na nalo mita chache tu mbele yangu.
Isingekuwa huruma kubwa , na ujasiri wa kutisha wa yule mwenye semi, kwa kweli angelisaga lile basi pale pale na abiria wote. Dereva wa Semi aliamua kujitoa mhanga kwa kulitupa semi lake kwenye korongo, basi na basi ndio likapata upenyo wa kutoba maana alikuwa anatuovertake wawili kwa mpigo, na lililokuwa mbele yangu lilikuwa lorry kubwa pia, na halikumpa upenyo hata kidogo.
Lile semi lilipoingia korongoni likadunda kama kitenesi na kurudi kwenye lami katika angle iliyokuwa ikinielekea mimi, hamadi na mimi naangaliana nalo uso kwa uso, nikifikira nina watoto nimepakia nyuma, moyo ulisimama ghafla!!
Basi kwa huruma kuu, na ujasi wa ajabu sana, akalirudisha kwa kasi kunikwepa na kuliingiza tena korongoni, bila kujali kwamba angeweza kufa yeye, na sisi ndio tukapona hapo. Kuangalia kwenye side mirror nikaona limedunda tena na kurudi barabarani, akalistabilize na kuendelea na safari. Nilishukuru sana Mungu.
Ila kama kawaida, mimi jambo halipiti hivi hivi, nilimfukuzia hadi nikampata walau nipate namba za gari, maana hata abiria anaondesha kila siku wapo hatarini, na picha hiyo hapo chini.
Nilikamripoti kwa moja wa wana usalama barabarani, na wakafanya mawasialiano na watu wa mbele walau apigwe faini, nadhani walimpiga faini pale pale, ila naona haitoshi!