johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
- Thread starter
- #41
Huyo ndio Giriki bwashee!mwaka 1995 nilikosea nikapanda tawaqal mbeya dar,kwanza ile asubuhi pale stand aliletwa na teksi halafu wakambeba kutoka kwenye teksi mpaka kwenye usukani,kwa kweli sikufurahia safari manake huo mwendo ni Mungu anajua,tulifika Dar saa tisa mchana