Yuko wapi Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Mzee wetu Marando?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,023
142,070
Ni muda mrefu sasa nguli Huyu wa siasa za Upinzani nchini hajaonekana Kwenye majukwaa ya Siasa za Chadema

Yuko wapi Mzee Marando?

cc: Mrangi Ufipa st, Kinondoni Shamba
 
Chadema wamemtelekeza, hawa watu wabinafsi sana, wanazurura ulaya na marekani hawasaidii watu muhimu kwa Chama chao
 
Anasumbuliwa sana na mtibwa sugar
Kwa muda mrefu sana,I hope atakuwa anaendelea vyema

Ila no moja ya watu poa sana mkikutana na kupiga stori

Ova
 
Back
Top Bottom