Yuko wapi Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wassira?

Yuko wapi Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Wassira?

Kwa hii CCM ya machua kachara na hii Chadema ya Macheki bob, bado tutafika tu lakini tutakuwa tumechoka ile mbaya.
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Wassira kajitoa

Kazi ya uenez wa CCM kwa sasa inafanya na jesh na tume huru ya ucgagz na msajily wa vyama
 
Zezeta siyo!!?..wazee wa matusi mso adabu,babaako ni zezeta au!?
Kwani alivyomwita Tundu Lissu Kibaka, Kuna mahala popote amebainika au alibainika kukwapua? Mkaimabia mjiheshimu mheshimiwe Huwa hamuelewi!
 
Sio kawaida yake Mzee Tyson kukaa kimya nyakati ngumu kama hizi, asingekubali Vijana akina Mnyika, Lema na Heche wasumbue Kiasi hiki, angejitokeza na kujibu mapigo.

Je nini kimemsibu? Yupo kweli? Au "yupo"?? Jitokeze Mzeee uokoe jahazi Hali ni mbaya Sana View attachment 3334884
Pengine atakuwa anasumbuliwa na maradhi ya kideli cha kuku.
 
Ni maombi ya Mkoloni mpya Zanzibar wetu ashindwe Wacha tufungue Tena wiki saba ,Mungu wa Milima ya Mbeya na bonde la ufa hajawahi kutuacha katika maombi yetu.
Gad vauzan,gad vauzan,gad vauzan.....
Aamen
 
Familia yake ilibidi wakatae huo uteuzi Kama wanapenda kumuona baba yao akiishi at least miaka mingine michache mbele .
 
Back
Top Bottom